masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,880
- 13,165
- Thread starter
- #41
Mkuu unless una makengeza, soma gazeti Niashe, leo 14/9/2012, ukurasa wa 4 ili ujiridhishe kuwa UMBEA HUU NI WA KWELI.Reading between the lines kilichokusukuma ni UMBEA zaidi ya uzalendo.
Wingi wa Madiwani wa CHADEMA haukuwazuia madiwani wa vyama vingine kugomea mpango huo. Nani ajuaye pengine hata wazo hilo lilitoka kwa madiwani wa CCM. Na ikiwa bajeti ya halmashauri yao inaruhusu na wao wakaona ni jambo la manufaa kwa halmashauri yao shida iko wapi?
Hata hivyo, ilikuwa safari ya kipuuzi. Lilikuwa ni suala la kumpeleka Afisa Mazingira na mwingine anayehusika ambaye ktk kurudi kwake angetoa elimu aliyoipata huko kwa madiwani na wadau wengine
Soma UMBEA mwingine wa gazeti hilo hilo la Nipashe, Meya huyo wa Moshi akijitetea kutohusika na mauaji ya kijana mtaani kwake.(Uk.8)
Achana na tabia ya kupuuza ukweli unaokugusa kwa kuuita ni umbea, ni ukosefu wa uwajibikaji na kupuuzia nafasi nzuri ya kujisahihisha.