Ufisadi wa CCM na Kujitanua kwa Clouds FM!

Nilikuwa na washikaji wakati tunajadili issue za pilitik, ikaja suala la miropoko inayotolewa na Mtangazaji mmoja wa clouds fm ambaye wengi tunamjua. Wakati mjadala unaendelea jamaa mmoja akatueleza kwamba kwa kuwa hii redio imekuwa mstari wa mbele kupitia huyo mtangazaji kuipandisha chati ccm, eti ccm imeamua kuifadhili ili iweze kujitanua sawasawa ikiwezekana mikoa yote.

Lengo la ccm kutoa huo ufadhili kwa hii redio ni kuhakikisha kwamba ikifika 2015 iweze kutumika katika kampeni zake. Hii imetokana na redio husika kusikilizwa na watu wengi tofauti na redio uhuru ambayo imekosa umaarufu na wasikilizaji wa maana. Hii inatokana na ukweli kwamba redio hii imekuwa mstari wa mbele kukisemea ccm, ingawa redio yenyewe sio ya chama.

Wajemeni ni ngumu sana kwa haka kanchi kupata maendeleo maana ingawa tuko ktk mwaka wa pili tangu uchaguzi mkuu, watu wameshaanza kuandaa mashambulizi, ili hali watz bado tupo katika lindi la umasikini.
Kama hiyo radio imeamua kutangaza wanachotangaza wala sina shida na hilo. Linalonisumbua ni aina ya ufadhili ambao radio inauopata lutoka kwa CCM. Je, ni wa kifedha, vifaa, utaalamu wa watu? nataka kujua hivi kwa sababu hata kwa asiye mwana CCM, bado chama hicho kinapata ruzuku kutokana na fedha za walipa kodi wote, hivyo ni vema tukafahamu fedha zetu zinatumikaje
 
Kuna uwezekana mimi au wewe mmoja wetu akili yake haiko sawa juu ya ufahamu wa neno 'news alert'. Ngoja niwasiliane na bakita pengine walinipotosha!


..tetesi..sounds good.. C news alert hii. It aint NEWS at all.!!
 
Wewe usiwe pumbavu wa dunia. Mbona husemi radio na magazeti yanayo shabikia chama chako cha kichaga?unadhani watu hawaoni au hawajui au unataka kila kitu watu waandike kama wewe unavyotaka kubainisha hap?Jengeni Chama cha Chadem ndani kuna mgogolo wa kufa mtu acheni kujidanganyaaa!
Nilikuwa na washikaji wakati tunajadili issue za pilitik, ikaja suala la miropoko inayotolewa na Mtangazaji mmoja wa clouds fm ambaye wengi tunamjua. Wakati mjadala unaendelea jamaa mmoja akatueleza kwamba kwa kuwa hii redio imekuwa mstari wa mbele kupitia huyo mtangazaji kuipandisha chati ccm, eti ccm imeamua kuifadhili ili iweze kujitanua sawasawa ikiwezekana mikoa yote.

Lengo la ccm kutoa huo ufadhili kwa hii redio ni kuhakikisha kwamba ikifika 2015 iweze kutumika katika kampeni zake. Hii imetokana na redio husika kusikilizwa na watu wengi tofauti na redio uhuru ambayo imekosa umaarufu na wasikilizaji wa maana. Hii inatokana na ukweli kwamba redio hii imekuwa mstari wa mbele kukisemea ccm, ingawa redio yenyewe sio ya chama.

Wajemeni ni ngumu sana kwa haka kanchi kupata maendeleo maana ingawa tuko ktk mwaka wa pili tangu uchaguzi mkuu, watu wameshaanza kuandaa mashambulizi, ili hali watz bado tupo katika lindi la umasikini.
 
Wewe usiwe pumbavu wa dunia. Mbona husemi radio na magazeti yanayo shabikia chama chako cha kichaga?unadhani watu hawaoni au hawajui au unataka kila kitu watu waandike kama wewe unavyotaka kubainisha hap?Jengeni Chama cha Chadem ndani kuna mgogolo wa kufa mtu acheni kujidanganyaaa!
Wewe ni mpuuzi! Justify huo uchaga na huo mgogoro! CDM kuna mgogoro kuliko *******? Una akili timamu wewe? Usilete upimbi humu!
 
Wewe usiwe pumbavu wa dunia. Mbona husemi radio na magazeti yanayo shabikia chama chako cha kichaga?unadhani watu hawaoni au hawajui au unataka kila kitu watu waandike kama wewe unavyotaka kubainisha hap?Jengeni Chama cha Chadem ndani kuna mgogolo wa kufa mtu acheni kujidanganyaaa!
Mapovu yanakutoka mpaka unakosa busara na hekima, pole sana, kunamaslahi hapo? au wewe ndio mmiliki wa hako ka radio?
 
Binafsi najua akina Kusaga walipotoka mpaka kufikia hata hao CCM kuona umuhimu wao.wamepigana sana toka zama zile kule mwenge! Walipendwa kama watu wa burudani na ukitaka burudani lazima utafute walipo hawa! Pengine Kusaga hajui au anapotoshwa hali halisi mtaani.Sura ya Clouds machoni mwa watu si ile tena! Vijana wanaanza kuwachukia dhahiri kabisa kwa kujihusisha na siasa za ccm! Wanafaidi nafasi wanazopata now lakini mwisho wake si mzuri hasa unapo deal na wanasiasa! Wajiangalie upya na kutengeneza policy zitazowaongoza waachane na siasa! Wengine tunaona nchi inapoelekea wakae mbali upepo usije kuwabeba na wao! Kusaga umerusha sana mateke usikubali watu wakutumie kwa faida ya muda mfupi!
Mkuu ushauri mzuri sana huu. Kwa anayeijua clouds/mawingu ilikotoka atawaonea huruma kama watajihusisha na siasa ambazo zinaweza kuwapeleka kuzimu. Najua walianzia kwenye birthday party, wakaja house party, wakasonga mbele na kujikita kwenye discoteque hadi sasa wana radio na tv. Wasicheze na siasa kama kweli wanajiingiza kwenye siasa. Bifu lao na Sugu si hali njema katika ustawi wao.

Kila jambo linawezekana manake jamaa sasa wansikika Tanzania nzima na wamejitanua kwa muda mfupi ghafla.

Kibonde nanapata vitenda vya kuwa msema chochote huko serikalini sasa asije akawa anatumia Clouds kwa maslahi yake!
 
mby mjn walisema iz frequence za wafu ziondoke pa1 na fiesta yao la sivyo watawasaidia kutoa !
Hivi suala la msaada wa Rais kwa wana bongo flava limeishaje? Nilisikia Rais alitoa vyombo vya music kwa wanabongo flava lakini vikanyakuliwa na THT. Kanchi haka bwana katamu kweli hasa ukikapatia.
 
Wewe usiwe pumbavu wa dunia. Mbona husemi radio na magazeti yanayo shabikia chama chako cha kichaga?unadhani watu hawaoni au hawajui au unataka kila kitu watu waandike kama wewe unavyotaka kubainisha hap?Jengeni Chama cha Chadem ndani kuna mgogolo wa kufa mtu acheni kujidanganyaaa!

matusi ya nini wewe kenge?
 
Back
Top Bottom