mbona Abubakar Asenga umekuwa mkali hivi! ndio mambo ya kulipa fadhira hayo, pole sana mdogo wangu, hakuna kitu kibaya kama shida hapa duniani.wewe ni mhuni na nai mzushi.mimi naitumia sana hiyo bandari ya kinana,sijawahi kukutana na kitu kama hicho.we unatoa wapi huu ukuda wako,au umeamka na njaa???? kunywa kwanza chai ndio ushike keyboard.