swali muhimu wana JF,why ASYCUDA ipo down kila siku?mbona systems za ma bank hazisumbui kama za TRA?
Dr. Mwakyembe hajaliona hilo!
madili kama hayo unakuta TRA na wengine wote kwenye system wana mlo wao hapo...huwezi mshtaki punda kwa fisi aloo
ngoja nione ni wangapi watabisha juu ya hili!Lile eneo pale yuko in partnership na Ridhwani Kikwete,ndo wana-run Trans African Logistics Ltd(TALL)
Kila mwanasiasa ndio mwekezaji mwenyewe
wewe ndiye uliyeandika ile barua ya kiingereza kwaajili ya Sensa?Weka vielelezo mkuu, tusifanye mambo kwa majungu. Sema nani kacheleweshewa mizigo kama refence. Una uhakika TALL ni mali ya KINANA?
Kupitia kampuni yake ya TRANS AFRICAN LOGISTICS LTD (TALL) ambayo ni bandari ya nchi kavu maeneo ya Kamata, amekuwa akichelewesha mizigo ya wateja kwa makusudi kwa kisingizio cha system ya Ascuda kusumbua ili tu aweze kutoza storage charges kwa wateja.
Haiingii akilini kila siku ascuda iwe inasumbua kwenye yard ya mzee Kinana tu wakati bandari kavu nyingine zikitoa mizigo kama kawaida.
Tunawaomba wahusika kama TAKUKURU, vyombo vya habari, TRA waingilie kati kuokoa bandari yetu ya Dar kwa sababu kuna idadi kubwa ya wateja wanaokimbia na kwenda bandari za Wavis, Maputo na Durban.
Kupitia kampuni yake ya TRANS AFRICAN LOGISTICS LTD (TALL) ambayo ni bandari ya nchi kavu maeneo ya Kamata, amekuwa akichelewesha mizigo ya wateja kwa makusudi kwa kisingizio cha system ya Ascuda kusumbua ili tu aweze kutoza storage charges kwa wateja.
Haiingii akilini kila siku ascuda iwe inasumbua kwenye yard ya mzee Kinana tu wakati bandari kavu nyingine zikitoa mizigo kama kawaida.
Tunawaomba wahusika kama TAKUKURU, vyombo vya habari, TRA waingilie kati kuokoa bandari yetu ya Dar kwa sababu kuna idadi kubwa ya wateja wanaokimbia na kwenda bandari za Wavis, Maputo na Durban.