fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
source: BBC News - Sacked Chinese railways minister in corruption inquiry
Waziri wa Reli wa China amefukuzwa kazi wakati anafanyiwa uchunguzi wa kupokea rushwa ya zaidi ya $121m, kwa ajili ya kutoa mikataba ya treni ziendazo kwa kasi.
Serikali ya ki-communist ya China isiyopenda kuonyesha udhaifu wa viongozi wake, ililazimika kuchukua hatua hiyo ngumu ili kutopoeza imani ya wananchi dhidi ya serikali yao, kwani hasira kubwa sana za raia wa china ni dhidi ya ufisadi.
Waziri wa Reli wa China amefukuzwa kazi wakati anafanyiwa uchunguzi wa kupokea rushwa ya zaidi ya $121m, kwa ajili ya kutoa mikataba ya treni ziendazo kwa kasi.
Serikali ya ki-communist ya China isiyopenda kuonyesha udhaifu wa viongozi wake, ililazimika kuchukua hatua hiyo ngumu ili kutopoeza imani ya wananchi dhidi ya serikali yao, kwani hasira kubwa sana za raia wa china ni dhidi ya ufisadi.