Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Tukiwa na majonzi ya ndugu zetu walioumia na wengine kupoeteza maisha kwa mabomu yaliolipuka huko Gongo la Mboto wengiene wanasema (kama Mafisadi wa Jeshini wanavyoitwa AJALI) Matatizo yote yanatokana na Kiongozi mzembe asiyetaka kusikiliza au kuambiwa,
1. alijifunza nini katika tukio la Mbagala?
2.Na kama amejifunza alichukuwa hatua gani ili kuzuia tukio jengine kama hilo lisitoke?
3. Ufisadi ulikithiri Jeshini na tender wanazijipa wenye ma-Brig na Gen ndio zinazowatia jeuri na wizi.
4. kulindana kupeana vyeo kwa kujuana kama anavyofanya Mkubwa wao Fisadi Kikwete
5. Serikali ya Mkwere imezidisha ari, kasi na nguvu mpya ya Ufisadi kujilimbikizia mali wao wenyewe.
6. suluhisho ni maanadamano ya kumn'go huyu Nduli Fisadi Kikwete anayelea Ufisadi wote hapa Nchi ndio Itakuwa DAWA ya kumaliza haya matatizo tulionayo
1. alijifunza nini katika tukio la Mbagala?
2.Na kama amejifunza alichukuwa hatua gani ili kuzuia tukio jengine kama hilo lisitoke?
3. Ufisadi ulikithiri Jeshini na tender wanazijipa wenye ma-Brig na Gen ndio zinazowatia jeuri na wizi.
4. kulindana kupeana vyeo kwa kujuana kama anavyofanya Mkubwa wao Fisadi Kikwete
5. Serikali ya Mkwere imezidisha ari, kasi na nguvu mpya ya Ufisadi kujilimbikizia mali wao wenyewe.
6. suluhisho ni maanadamano ya kumn'go huyu Nduli Fisadi Kikwete anayelea Ufisadi wote hapa Nchi ndio Itakuwa DAWA ya kumaliza haya matatizo tulionayo