DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
mkuu unahasira na UDOM utadhani ni ya kwako hicho ni cha ccm hutaki???mijitu mingine bwana imekalia walimchangia mkullu walimchangia mkullu wakati pessa walitoa wana ccm wenyewe na wakairudisha ccm ili wajinga waamini wajinga endeleeni kuamini kuwa udom walichangia fomu, endeleeni kuamini udom ni chuo cha ccm kwani wengine hamuambiliki
kwendeni zenu ukoo nyie vitoto vya ccmm tene komeni kabisaaa!!si mlitaka wenyewee
Kwendeni zenu ukoo nyie vitoto vya CCMm tene komeni kabisaaa!!si mlitaka wenyewee
mijitu mingine bwana imekalia walimchangia mkullu walimchangia mkullu wakati pessa walitoa wana ccm wenyewe na wakairudisha ccm ili wajinga waamini wajinga endeleeni kuamini kuwa udom walichangia fomu, endeleeni kuamini udom ni chuo cha ccm kwani wengine hamuambiliki
Si walimchangia mkulu, inaonekana hawana shida na hela ndogondogo.