kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Jamani hivi mnajua kua ukimwalika Mkuu wa mkoa, Waziri, Mkuu wa wilaya au kiongozi yeyote serikalini aje kufungua Mkutano, warsha, semina au mafunzo Unamlipa hela.
1. unamlipa full perdiem kama vile ameenda kikazi nje ya kituo chake cha kazi,
2. unamlipa hela ya kufungulia mkutano au hiyo shughuli uliyoiandaa
3. unamlipa hela ya mafuta ya gari alilotumia kuja nalo
4. unamlipa na dereva wake
5. Hotuba anayokuja kuisoma wakati wa kufungua hiyo semina unaiandaa wewe uliyemualika
Sasa kinachotokea akifika hapo anaisoma hiyo hotuba akimaliza kuisoma anawatakieni semina njema then anachukua hela zake anarudi Ofisin kwake kuendelea na shughuli zake zingine
Hii ndo hali halisi tunayokutana nayo
1. unamlipa full perdiem kama vile ameenda kikazi nje ya kituo chake cha kazi,
2. unamlipa hela ya kufungulia mkutano au hiyo shughuli uliyoiandaa
3. unamlipa hela ya mafuta ya gari alilotumia kuja nalo
4. unamlipa na dereva wake
5. Hotuba anayokuja kuisoma wakati wa kufungua hiyo semina unaiandaa wewe uliyemualika
Sasa kinachotokea akifika hapo anaisoma hiyo hotuba akimaliza kuisoma anawatakieni semina njema then anachukua hela zake anarudi Ofisin kwake kuendelea na shughuli zake zingine
Hii ndo hali halisi tunayokutana nayo