Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Taarifa za awali zinaonyesha mamillion ya fedha za walipa kodi yameliwa katika ujenzi wa nyumba ya mkuu huyo.
Imethibitika katika budget ya serikali hiyo fedha haikuwepo ya kumjengea mkulu huyo nyumba Je fedha ilitoka wapi??? na Je breakdown ya matumizi ya hiyo hela yamekaa aje??? Inaonyesha kuwa katika hatua za mwisho Nyerere nae alianza kuwa fisadi. Nakusababisha wan historia wa ufisadi kusema kuwa "Hakuna Msafi hata MMOJA ndani ya CCM".
Imethibitika katika budget ya serikali hiyo fedha haikuwepo ya kumjengea mkulu huyo nyumba Je fedha ilitoka wapi??? na Je breakdown ya matumizi ya hiyo hela yamekaa aje??? Inaonyesha kuwa katika hatua za mwisho Nyerere nae alianza kuwa fisadi. Nakusababisha wan historia wa ufisadi kusema kuwa "Hakuna Msafi hata MMOJA ndani ya CCM".