Ufisadi mkubwa kinondoni;- madiwani wachachamaa.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Katika hali inayotafsiriwa kama mwendelezo wa vuguvugu lililoanzishwa bungeni, madiwani wa CCM na wa CHADEMA wote kwa pamoja waliungana na kutaka kwa kauli moja kuwajibishwa kwa watendaji wakuu wa halimashauri ya kinondoni kutokana na tuhuma za ubadhirifu na ufisadi.
watendaji hao na malalamiko yao ni kama ifuatavyo.

1. Mrs MARRY SINGANO huyu mama ni mchumju mkuu wa halimashauri bya kinondoni. amelalamikiwa na madiwani kushindwa kuwajibika kikamilifu kwa kushindwa kuandaa bajeti na kuwasimamia wasaidizi wake vema.
singano yeye amekuwa akilkipwa pesa za kuandaa bajeti na kudanganya kuwa anasafiri kuandaa bajeti na badala yake amekuwa akijifungia bndani kwake na kubadili namba kwenye bajeti za miaka ya nyuma.

pamoja na hayo mama huyu anasadikiwa kumiliki zaidi ya dalala sabini na nne aina ya eaicher hapa mjini zinazosadikiwa kuwa zinatokana na pesa za wizi za halimashauri.

2. Mr. NYANDALO CHAYA. Huyu bwana ni mgavi wa halimashauri hii. siku zote anashuhulikia manunuzi ya halimashauri ikiwa ni pamoja na uandaaji wa zabuni.
huyu bwana ana tuhuma za kujilimbikizia mali na kuwafanya madiwani wachukizwe na mfumo wake.
CHAYA anasemekana amesababisha kushindikana kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa barabara yenye thamani ya milion 800 kutokana na kampuni za jamaa zake kutokushiriki kikamilifu katika ushindani huo.
chaya anatuhumiwa pia kuwa na tabia ya kuanzisha vi kampuni vyake kisha kuvipeleka kuomba TENDER kisha kuvipatia na kuwanyima haki ya kishindani na makampuni.

3. Mr. ATHANAS URIO Huyu ni mkuu wa IDARA YA UJENZI NA ZIMA MOTO. yeye anatuhumiwa kusababisha halimashauri kutengeneza barabara zilizo chini ya kiwango na kuitia hasara halimashauri.
Urio yeye anatuhumiwa pia kuandaaa BOQ zilizokuwa chini ya kiwango na kuidanganya halimashauri juu ya ujenzi wa barabara za lami kwani kwa sasa tangu MAGUFULI aingie madarakani garama ya kutengeneza lami imeshuka kwa milioni 200/km lakini yeye huandaa BOQ zenye thamani ya zamani kisha kujitwalia pesa zilizobaki.
urio yeye anasifiwa kuwa tangu ahamie kinondoni halimashauri mpaka sasa anamiliki hoteli tatu za kulala wageni hapa mjini.

4. Mr. FRANSIS MUGISHA Mkuu wa idara ya maji. yeye amefanya ufisadi wa kutisha kwa kushirikiana na wezi wa miundombinu ya maji na kuwaunganishia WAKAI WA TANDALE NA SINZA mfumo wa maji taka katika bomba la maji safi kiasi kwamba wananchi wa maeneo hayo mpaka sasa wanakunywa maji machafu.

huyu bwana pia amekuwa na tabia ya kujilimbikizia mali pindi anapokuja mtu anataka kibali cha kuchimba barabara kwa ajili ya kupatiwa maji.
huyu pia mpaka sasa anajimilikisha zaidi ya vituo nane vya kukusanyia ushuru.

Hivyo sasa, madiwani wa halimashauri ya kinondoni wakiongozwa na Mstahiki Meya MWENDA wamesimama kidete kuhakikisha hawa wabadhilifu wanashuhulikiwa kisawasawa.

ninawaomba wanajukwaa wenzangu tuijadili kikamilifu hili swala ili tuone jinsi ya kufanya katika kuhakikisha kuwa haki inapatikana.
 
Katika hali inayotafsiriwa kama mwendelezo wa vuguvugu lililoanzishwa bungeni, madiwani wa CCM na wa CHADEMA wote kwa pamoja waliungana na kutaka kwa kauli moja kuwajibishwa kwa watendaji wakuu wa halimashauri ya kinondoni kutokana na tuhuma za ubadhirifu na ufisadi.
watendaji hao na malalamiko yao ni kama ifuatavyo.

1. Mrs MARRY SINGANO huyu mama ni mchumju mkuu wa halimashauri bya kinondoni. amelalamikiwa na madiwani kushindwa kuwajibika kikamilifu kwa kushindwa kuandaa bajeti na kuwasimamia wasaidizi wake vema.
singano yeye amekuwa akilkipwa pesa za kuandaa bajeti na kudanganya kuwa anasafiri kuandaa bajeti na badala yake amekuwa akijifungia bndani kwake na kubadili namba kwenye bajeti za miaka ya nyuma.

pamoja na hayo mama huyu anasadikiwa kumiliki zaidi ya dalala sabini na nne aina ya eaicher hapa mjini zinazosadikiwa kuwa zinatokana na pesa za wizi za halimashauri.

2. Mr. NYANDALO CHAYA. Huyu bwana ni mgavi wa halimashauri hii. siku zote anashuhulikia manunuzi ya halimashauri ikiwa ni pamoja na uandaaji wa zabuni.
huyu bwana ana tuhuma za kujilimbikizia mali na kuwafanya madiwani wachukizwe na mfumo wake.
CHAYA anasemekana amesababisha kushindikana kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa barabara yenye thamani ya milion 800 kutokana na kampuni za jamaa zake kutokushiriki kikamilifu katika ushindani huo.
chaya anatuhumiwa pia kuwa na tabia ya kuanzisha vi kampuni vyake kisha kuvipeleka kuomba TENDER kisha kuvipatia na kuwanyima haki ya kishindani na makampuni.

3. Mr. ATHANAS URIO Huyu ni mkuu wa IDARA YA UJENZI NA ZIMA MOTO. yeye anatuhumiwa kusababisha halimashauri kutengeneza barabara zilizo chini ya kiwango na kuitia hasara halimashauri.
Urio yeye anatuhumiwa pia kuandaaa BOQ zilizokuwa chini ya kiwango na kuidanganya halimashauri juu ya ujenzi wa barabara za lami kwani kwa sasa tangu MAGUFULI aingie madarakani garama ya kutengeneza lami imeshuka kwa milioni 200/km lakini yeye huandaa BOQ zenye thamani ya zamani kisha kujitwalia pesa zilizobaki.
urio yeye anasifiwa kuwa tangu ahamie kinondoni halimashauri mpaka sasa anamiliki hoteli tatu za kulala wageni hapa mjini.

4. Mr. FRANSIS MUGISHA Mkuu wa idara ya maji. yeye amefanya ufisadi wa kutisha kwa kushirikiana na wezi wa miundombinu ya maji na kuwaunganishia WAKAI WA TANDALE NA SINZA mfumo wa maji taka katika bomba la maji safi kiasi kwamba wananchi wa maeneo hayo mpaka sasa wanakunywa maji machafu.

huyu bwana pia amekuwa na tabia ya kujilimbikizia mali pindi anapokuja mtu anataka kibali cha kuchimba barabara kwa ajili ya kupatiwa maji.
huyu pia mpaka sasa anajimilikisha zaidi ya vituo nane vya kukusanyia ushuru.

Hivyo sasa, madiwani wa halimashauri ya kinondoni wakiongozwa na Mstahiki Meya MWENDA wamesimama kidete kuhakikisha hawa wabadhilifu wanashuhulikiwa kisawasawa.

ninawaomba wanajukwaa wenzangu tuijadili kikamilifu hili swala ili tuone jinsi ya kufanya katika kuhakikisha kuwa haki inapatikana.

hawa jamaa wanatakiwa wapigwe mawe mpaka wafe.
inatakiwa wapelekwe jangwani pale wakasurubiwe aisee.
hawa ni nyoka sana, wanawezaje kutufilisi mchana kweupe?. mweshimiwa rais hebu angalia hili haraka
 
Nitarudi, ngoja nipekue data za kushuka nazo, stay tuned
 
Nami nitakuja kuchangia punde ila nataka nijue Mh. Manota, diwani wa Kimara alivyofoka mkutanoni. Najua Manota na Urio wana uswahiba fulani.
 
Nami nitakuja kuchangia punde ila nataka nijue Mh. Manota, diwani wa Kimara alivyofoka mkutanoni. Najua Manota na Urio wana uswahiba fulani.

karibu sana bwana. safari hii madiwani wengi wameungana ila hio haizuii kuwahoji urafiki wao
 
Almashauri zetu ni feki, hata taarifa ya gag kuna madudu hayakutolewa kwani hata wakaguzi wa mahesabu walichukua mshiko na kuficha mengi
 
Almashauri zetu ni feki, hata taarifa ya gag kuna madudu hayakutolewa kwani hata wakaguzi wa mahesabu walichukua mshiko na kuficha mengi
tuungane kuwanyoosha hawa jamaa ndugu zangu. hatuwezi kuwa tunalalamika tu kila leo.
 
hii taarifa haina umakini. Kuorodhesha tu bado haitoshih unatakiwa utoe uthibitisho ndipo ulete kwa kujiamini
 
Back
Top Bottom