Jamani kama kuna mambo yanakera katika Mamlaka hii ni upendeleo katika kupata ajira. Yaani ili upate ajira lazima ujuane na wakubwa. Hakuna haki hata kidogo. Nitawaletea vielelezo vya jinsi watu walivyajiriwa kwa rushwa muone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.