change we need
Member
- Aug 10, 2011
- 81
- 9
Kwa takiribani miaka kumi sasa nchi yetu imekuwa ikigubikwa na kashifa mbalimbali za ufisadi na hasa zikiwahusisha maafisa waandamizi au wakuu wa serikali je hali hii mpaka lini?
Hatuna maendeleo makubwa tuliyofikia katika nyanja za elimu,kilimo na afya, bajeti zetu zimekuwa za kubabaisha zikitegemea zaid misaada ya wafadhili huku tukishindwa kutumia rasilimali zetu vizuri kama madini, bandari, misitu, mbuga na nyinginezo nyingi kuweza kujiongezea mapato, wadau tupeane mawazo hali hii mpaka lini?
Hatuna maendeleo makubwa tuliyofikia katika nyanja za elimu,kilimo na afya, bajeti zetu zimekuwa za kubabaisha zikitegemea zaid misaada ya wafadhili huku tukishindwa kutumia rasilimali zetu vizuri kama madini, bandari, misitu, mbuga na nyinginezo nyingi kuweza kujiongezea mapato, wadau tupeane mawazo hali hii mpaka lini?