Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
I love this thread.
Nakumbuka mzalendo ilikuja kichwa cha habari CHAMA CHACHAMAA. Kama sikosehi ilihusika na mauzo ya meli au midege mibovu ya ATC.
Ufisadi ulikuwepo toka enzi hizo. Lakini wakati mtoto alikuwa anatambaa tu. Sasa mtoto ufisadi ni jimama au jibaba.
Nakumbuka mzalendo ilikuja kichwa cha habari CHAMA CHACHAMAA. Kama sikosehi ilihusika na mauzo ya meli au midege mibovu ya ATC.
Ufisadi ulikuwepo toka enzi hizo. Lakini wakati mtoto alikuwa anatambaa tu. Sasa mtoto ufisadi ni jimama au jibaba.