Serikali imeanza kuvalia njuga matatizo ya ufisadi nchini,tunasema hii ndiyo kasi mpya.Lakini ombi letu ni kwamba hapo pawe mahali pa kuanzia tu.Bado kazi ni kubwa.Serikali ikimaliza EPA na Richmond uchunguzi uhamie kwenye mawizara mbalimbali.Huko ndiko babu aliko.Ya EPA na Richmond ni wajukuu.