leo niomeshtushwa na habari katika gazeti la mwananchi kuwa ,eti wanafunzi wengi waliongoza kidato cha sita wanatoka familia maskini!!!!!!!!!!!
Hapa ndipo CCM walipotufikisha kwamba eti mtoto wa maskini akifaulu ni habari kuu kwenye magazeti!
Jamani MUNGU atuokoe ! enzi za mwali=mu watoto wa wakulima kufaulu ilikuwa ni suala la kawaida na si habari hata kidogo!
Ole wao walianzisha mfumo wa kuwakandamiza maskini
Hapa ndipo CCM walipotufikisha kwamba eti mtoto wa maskini akifaulu ni habari kuu kwenye magazeti!
Jamani MUNGU atuokoe ! enzi za mwali=mu watoto wa wakulima kufaulu ilikuwa ni suala la kawaida na si habari hata kidogo!
Ole wao walianzisha mfumo wa kuwakandamiza maskini