Ufaulu wa Wanafunzi wa Shule za kata Kuongezeka.

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Baada ya wazazi, wanaharakati na wanasiasa kuhoji kuporomoka kwa ufaulu wa wanafunzi wa shule za kata katika matokeo yaliopita, kunamkakati wa kuotoa matokeo ya kuwaridhisha wananchi ili kuepusha lawama dhidi ya mipango ya serikali katika kuongeza idadi ya shule na waliofaulu kila mwaka.
Mkakati huo unatarajiwa kuanza katika matokeo yanayofuata na kuendelea.

Hii itasaidia hata kampeni zijazo ziwe na mafanikio hasa kwa chama tawala.
 
Kwasababu mmelalamikia matokea halisi, mtapewa mnayoyapenda. Watoto wenu watafaulishwa ili sera ya MEM iuzike.
 
Hapo hata ambao hawajui kusoma watapata daraja la kwanza ili tu kuwaridhisha watu!
 
Sosi pliiiiiiiiiiiiiiiizi. Otherwise a gosip.
Baada ya wazazi, wanaharakati na wanasiasa kuhoji kuporomoka kwa ufaulu wa wanafunzi wa shule za kata katika matokeo yaliopita, kunamkakati wa kuotoa matokeo ya kuwaridhisha wananchi ili kuepusha lawama dhidi ya mipango ya serikali katika kuongeza idadi ya shule na waliofaulu kila mwaka.Mkakati huo unatarajiwa kuanza katika matokeo yanayofuata na kuendelea.Hii itasaidia hata kampeni zijazo ziwe na mafanikio hasa kwa chama tawala.
 
Back
Top Bottom