Ufanye nini kama una pepo mahaba?

Felixonfellix

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
1,672
182
Mpendwa msomaji hizi ni dalili kadhaa ktk nyingi kama unaona hapo iko sehemu inakugusa tafuta mahala penye huduma ya kufunguliwa upone, haya mapepo machafu yana leta hata kukufanya uwe unaishiwa kila mara hata ungekuwa na pesa ya kutosha wewe mda mchache huna kitu, amani katika ndoa ni ndogo sana ni hekaheka tu!na kama kuoa au kuolewa kuna zuiwa na haya niliyo kupa mbinu jinasue ktk jina la Yesu !Njia kubwa ni umpe Yesu maisha yako. Na usiogope hata wewe ambaye ulisha mpa Yesu maisha yako kama una dalili hizi nenda kafunguliwe sio dhambi kufunguliwa uweze kuoa / kuolewa. Na uliyeko katika ndoa ikiwa na mambo ya jinsi hii hauko salama hata kidogo kafunguliwe uweze kufurahia ndoa yako katika Jina la Yesu.
 
Mpendwa msomaji hizi ni dalili kadhaa ktk nyingi kama unaona hapo iko sehemu inakugusa tafuta mahala penye huduma ya kufunguliwa upone, haya mapepo machafu yana leta hata kukufanya uwe unaishiwa kila mara hata ungekuwa na pesa ya kutosha wewe mda mchache huna kitu, amani katika ndoa ni ndogo sana ni hekaheka tu!na kama kuoa au kuolewa kuna zuiwa na haya niliyo kupa mbinu jinasue ktk jina la Yesu !Njia kubwa ni umpe Yesu maisha yako. Na usiogope hata wewe ambaye ulisha mpa Yesu maisha yako kama una dalili hizi nenda kafunguliwe sio dhambi kufunguliwa uweze kuoa / kuolewa. Na uliyeko katika ndoa ikiwa na mambo ya jinsi hii hauko salama hata kidogo kafunguliwe uweze kufurahia ndoa yako katika Jina la Yesu.

Injili nzuri,....anyway nimefaidi kidogo maake j2 iliyopita sikwenda church....amen
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom