prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Mchungaji alikufa,akiwa mbinguni akakuta
kuna saa nyingi za mshale.
Akauliza zote hizo za nini?
Malaika akamwambia
ni za kuhesabu dhambi,mshale
ukizunguka mara moja mhusika wa saa anakuwa ametenda dhambi.
Kulikuwa
na moja haizunguki hata kidogo akaambiwa kuwa hiyo ni ya Nabii Musa.
Mchungaji akauliza
zi wapi saa za Lowasa,
Rostam, Jakaya, Chenge?
Malaika akajibu kuwa zipo chumbani mungu anazitumia kama feni!
kuna saa nyingi za mshale.
Akauliza zote hizo za nini?
Malaika akamwambia
ni za kuhesabu dhambi,mshale
ukizunguka mara moja mhusika wa saa anakuwa ametenda dhambi.
Kulikuwa
na moja haizunguki hata kidogo akaambiwa kuwa hiyo ni ya Nabii Musa.
Mchungaji akauliza
zi wapi saa za Lowasa,
Rostam, Jakaya, Chenge?
Malaika akajibu kuwa zipo chumbani mungu anazitumia kama feni!