Magamba hamna cha kujadili kuokoa chama chenu kinazama, mnapoteza muda kuijadili peopless power, pamoja na nape wenu anaye endelea kukiua chama chenu. Mtabaki kupakaza maneno ya uzushi.mafuta ya wazanzibari yatabaki kuwa ya wazanzibari. Peoplessssssssssssssssssssss poweeeeer
Katika hotuba yake amedai kuwa Tanzania haina sera ya Gesi asili na kwamba, sheria ya madini ya mwaka 2010 imetokana na shinikizo la CHADEMA na Asasi za kiraia.
- KUHUSU SERA YA MADINI YA 2009 NA SHERIA YA MADINI YA 2010
UFAFANUZI
Chama Cha Mapinduzi katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2010 ambayo inapatikana katika website ya CCM www.ccm.or.tz katika ibara ya 55 ya ilani imeeleza mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya madini kwa kipindi cha 2005/2010, ambayo ni pamoja na kukamilika kwa sera ya madini ya 2009 na kupitishwa kwa sheria ya madini ya mwaka 2010.
Mhe. Kabwe mwaka 2009 alikuwa wapi kutoa mchango wake?
Hoja hii ni ya CCM yeye na Chama chake wameidandia kwa malengo ya kibinafsi na sio maslahi ya nchi.
IMETOLEWA NA TAWI LA CCM MAKAO MAKUU
DODOMA
28/05/2012
Suala la katiba hakuna ubishi kwamba liliibuliwa na CDM kwenye kampeni za uchaguzi 2010. Halikuwa kwenye midomo ya CCM wakati huo wala kwenye Ilani yake. Mengine yaliyosemwa ni ya kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
Ninavyokumbuka CCM haikuwa na sera wala ilani yao ya uchaguzi kuongelea kuhusu katiba mpya. Chadema na vyama vingine vya upinzani vilipokuwa vinasisitiza umuhimu huo, CCM ilionekana kutetea kwamba katiba ya sasa ingali na manufaa kwa wananchi na haihitaji kubadilishwa au kufanyiwa marekebisho kwa kuwa yalishafanyika mara nyingi. Hivyo utetezi wa sasa hauna ukweli.
Hivi Nape huwa una consult ubongo wako kabla hujaa ndika haya mangonjera??
Huo ndio ukweli. Ndio maana hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Sheria mwanzoni walisema hakuna suala la katiba mpya. Nadhani hili halina haja ya kubishaniwa.