UFAFANUZI wa EVDO na 3G na HSDPA, Anayejua naomba tafadhali anieleweshe.

stineriga

JF-Expert Member
Jun 20, 2012
2,172
886
ninafahamu sana vitu vingi vya tech lakin hapa nimegonga mwamba, anayejua naomba anipe ufafanuzi. Kuna Simu nataka nunua online inasema ina 3G kwa EVDO lakini haina HSDPA.

Je, TIGO/VODA/AIRTEL wanayo hiyo EVDO? nahis ZANTEL wanayo sababu niliwahi kuwa na modem yao ilikuwa inaandika EVDO.

je speed ya EVDO kwenye 3G na speed ya HSDPA kwenye 3G ipi ina speed zaidi?
 
Evdo ni data.3g side ya cdma ambayo hutumiwa na TTCL na Zantel, pia Sasatel, kama bado ipo.
HSDPA ni 3g kwa network za gsm,gprs kama Airtel, Vodacom etc.
 
evdo ni data.3g side ya cdma ambayo hutumiwa na ttcl na zantel, pia sasatel, kama bado ipo.
hsdpa ni 3g kwa network za gsm,gprs kama airtel, vodacom etc.

duh.....inamaana hako ka simu na kwa mitandao hiyo tu uliyoidhinisha mkuu?
Hapo kwenye red wamaanisha nini imekufa au?
 
kwa kuongezea kuhusu 3G,kwa hyo simu ambayo haina hsdpa, inamaana itakuwa kwenye umts,kwa kibongobongo UMTS not bad,unaweza kutumia, kuhusu hyo simu kusaport EVDO kwa hapa bongo sio rahisi kutumia kutokana na frequency kupishana simu nyingi zenye kusupport GSM/CDMA technology kama hyo unayotaka kununua, utatumia kwa GSM kwa speed ya 3G ya UMTS kwa network za aina hyo
 
tafadhali kirefu cha hizi netwwork ni nini, SAIDIA TAFADHALIEDGE==HSDPA==HSPA==UTMS==
 
Back
Top Bottom