Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Naomba kuelimishwa hapa
Baba wa Taifa mwl JK Nyerere kuhusu ubadhirifu mbona hakuonekana kulisimamia saana kama Waziri mkuu wake mh Hayati Edward Moringe Sokoine.
Je hakuwa mpiganaji saana kama Sokoine kama kweli ni kwa nini.Nimesoma na kusikia kidogo kuwa alikuwa mpambanaji sana ktk suala la walanguzi na wahujumu uchumi kiasi kwamba inasemekana kifo chake jilisababishwa na upiganiaji haki huo.
Na baada ya kifo chake harakati hizo zilikwisha au kupungua kwa kiasi kikubwa tu
asanteni.
Baba wa Taifa mwl JK Nyerere kuhusu ubadhirifu mbona hakuonekana kulisimamia saana kama Waziri mkuu wake mh Hayati Edward Moringe Sokoine.
Je hakuwa mpiganaji saana kama Sokoine kama kweli ni kwa nini.Nimesoma na kusikia kidogo kuwa alikuwa mpambanaji sana ktk suala la walanguzi na wahujumu uchumi kiasi kwamba inasemekana kifo chake jilisababishwa na upiganiaji haki huo.
Na baada ya kifo chake harakati hizo zilikwisha au kupungua kwa kiasi kikubwa tu
asanteni.