Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,102
- 2,540
Wapi le mutus! Ni wakati wako wa kumsaidia mama kwani alikubeba sana wakati wa ubunge wa afrika mashariki lakini ulikuwa gunia la misumari!
Wote tuna njaa lakini tunastahamili, wewe huoni kazi uliyotumwa kwamba haitelezeki? kwanza humu unapoteza muda wako bure wapiga kura wenyewe watakaopiga kura wengi wao hawajui hata Internet ni kitu gani, na sifa kuu ya mgombea ni yule atakayetoa rushwa zaidi. so don't waste ur time here na kujidhalilisha pasi na sababu.
Asante sana kwa ufafanuzi mkuu!!!! Sasa naona Kama wanajitesa vile kwasababu 2015 UWT hakita tambulika tena kitaifa kwani ccm itakuwa Chama pinzani dhaifu
Mkuu ccm ya miaka hiyo uliyotaja siyo ya sasa hivi mbona hata KANU walisema hivyo hivyo sasa hivi wako wapi?Haaaaaaa Haaaaaaaaaaaa! NOT THAT EASLY AND QUICK! 1 Day cant take 50 years of our hold maybe! and maybe! 20,015, kwanza si umesikia CDM yenyewe washaanza kumalizana wenyewe kwa wenyewe!!!?:israel: SIMPLY DIVIDE AND RULE TACTIC IS AT WORK!
CDM dnt give up, mlianza 2000, then 2005 then 2010 these are all facts not speculations, not wishes not dreams. Kama CUF na milki ya PEMBA nzima walishindwa kuingoa CCM itakuwa CDM na majimbo ya kuhesabu??????? mkitushinda tunawafungisha umoja kama na CUF. labda mfanye libyanisation!