nishasema sana humu ndani kua Rais wa nchi asiwe na ruhusa kua mwenyekiti wa chama coz of conflict of interest ni sawa sawa na mbunge asiwe waziri, mkuu wa mkoa asiwe mbunge n.k
Mwenyekiti wako hawezi kung'atuka kwa hiari, anapenda sana madaraka. Labda mumng'oe kwa nguvu. Na safari hii mtampigia kura kwa kunyoosha mikono. Sasa niambie CCM mlivyo wanafiki nani atathubutu kunyoosha mkono kumpa kura ya hapana mwenyekiti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.