Uelewa wangu kuhusu animal inbreeding kama ilivyohofiwa kwa faru John

Titicomb

JF-Expert Member
Jan 27, 2012
11,324
17,829
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hii habari ya faru maaarufu aliye fahamika kwa jina la faru John. Watu wengi hasa sisi ambao hatukusoma baiolojia ktk elimu ya sekondari tumekuwa tukijiuliza hivi hii sababu ya kukwepa tatizo la animal inbreeding ndio nini hasa? Je ina mashiko. Sasa ilinibidi niende kufanya utafiti kujua hii animal inbreeding na majibu niliyoyapata yapo kama ifuatavyo:
Ni hivi kutokana na uchache wa faru ktk eneo lilojifunga kijiografia la creta faru wote walikuwa ndugu yaani faru John alikuwa anawazalisha dada zake na watoto wake na wajukuu zake. Sasa hii kibaiolojia sio nzuri kwani inaweza kuathiri mfumo wa uzaaji yaani kama kulikuwa na tatizo la kinasaba la kusababisha ulemavu au kupungua nguvu za kuzalisha au kufa mapema kwa ugonjwa flani au kuto kuzaa toka ktk faru John au wajukuu zake basi lilikuwa linarithishwa na kukuzwa (amplified kwa vizazi vyake) ingefika maali wangekuwa hawazaani au wanakufa kwa ugonjwa flani wa kurithi au wanalemaa kwa ugonjwa wa kurithi. Hii ndio inaitwa tatizo la inbreeding ya wanyama. Ni aina ya incest. Hii ndio sababu wewe binadamu hauruhusiwi kumuoa dada yako. au ndugu yako yeyote.
Tafadhari unaweza kuongeza au kukosoa chochote katika bandiko hili kwani mimi sio mwanasayansi wa baiolojia.
 
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hii habari ya faru maaarufu aliye fahamika kwa jina la faru John. Watu wengi hasa sisi ambao hatukusoma baiolojia ktk elimu ya sekondari tumekuwa tukijiuliza hivi hii sababu ya kukwepa tatizo la animal inbreeding ndio nini hasa? Je ina mashiko. Sasa ilinibidi niende kufanya utafiti kujua hii animal inbreeding na majibu niliyoyapata yapo kama ifuatavyo:
Ni hivi kutokana na uchache wa faru ktk eneo lilojifunga kijiografia la creta faru wote walikuwa ndugu yaani faru John alikuwa anawazalisha dada zake na watoto wake na wajukuu zake. Sasa hii kibaiolojia sio nzuri kwani inaweza kuathiri mfumo wa uzaaji yaani kama kulikuwa na tatizo la kinasaba la kusababisha ulemavu au kupungua nguvu za kuzalisha au kufa mapema kwa ugonjwa flani au kuto kuzaa toka ktk faru John au wajukuu zake basi lilikuwa linarithishwa na kukuzwa (amplified kwa vizazi vyake) ingefika maali wangekuwa hawazaani au wanakufa kwa ugonjwa flani wa kurithi au wanalemaa kwa ugonjwa wa kurithi. Hii ndio inaitwa tatizo la inbreeding ya wanyama. Ni aina ya incest. Hii ndio sababu wewe binadamu hauruhusiwi kumuoa dada yako. au ndugu yako yeyote.
Tafadhari unaweza kuongeza au kukosoa chochote katika bandiko hili kwani mimi sio mwanasayansi wa baiolojia.
Sawa nashukuru kwa utetezi wako
Swali:Kwa nini walikaa na pembe ya faru tokea mwezi wa nane,wakati kisheria ilitakiwa iletwe ivory room haraka sana,maana imeshageuka kuwa nyara
 
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hii habari ya faru maaarufu aliye fahamika kwa jina la faru John. Watu wengi hasa sisi ambao hatukusoma baiolojia ktk elimu ya sekondari tumekuwa tukijiuliza hivi hii sababu ya kukwepa tatizo la animal inbreeding ndio nini hasa? Je ina mashiko. Sasa ilinibidi niende kufanya utafiti kujua hii animal inbreeding na majibu niliyoyapata yapo kama ifuatavyo:
Ni hivi kutokana na uchache wa faru ktk eneo lilojifunga kijiografia la creta faru wote walikuwa ndugu yaani faru John alikuwa anawazalisha dada zake na watoto wake na wajukuu zake. Sasa hii kibaiolojia sio nzuri kwani inaweza kuathiri mfumo wa uzaaji yaani kama kulikuwa na tatizo la kinasaba la kusababisha ulemavu au kupungua nguvu za kuzalisha au kufa mapema kwa ugonjwa flani au kuto kuzaa toka ktk faru John au wajukuu zake basi lilikuwa linarithishwa na kukuzwa (amplified kwa vizazi vyake) ingefika maali wangekuwa hawazaani au wanakufa kwa ugonjwa flani wa kurithi au wanalemaa kwa ugonjwa wa kurithi. Hii ndio inaitwa tatizo la inbreeding ya wanyama. Ni aina ya incest. Hii ndio sababu wewe binadamu hauruhusiwi kumuoa dada yako. au ndugu yako yeyote.
Tafadhari unaweza kuongeza au kukosoa chochote katika bandiko hili kwani mimi sio mwanasayansi wa baiolojia.

RIP faru John
 
Sawa nashukuru kwa utetezi wako
Swali:Kwa nini walikaa na pembe ya faru tokea mwezi wa nane,wakati kisheria ilitakiwa iletwe ivory room haraka sana,maana imeshageuka kuwa nyara
Mkuu hata mimi naungana na wewe kuuliza swali hilo. Lakini ktk bandiko hili nililenga kuwajulisha watu maana ya inbreeding basi. Haya ya ilikuwa sahihi au kuna wizi au ubadhirifu nisingependa kuchangia sana kwa vile siujui ukweli wa tukio zima.
 
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hii habari ya faru maaarufu aliye fahamika kwa jina la faru John. Watu wengi hasa sisi ambao hatukusoma baiolojia ktk elimu ya sekondari tumekuwa tukijiuliza hivi hii sababu ya kukwepa tatizo la animal inbreeding ndio nini hasa? Je ina mashiko. Sasa ilinibidi niende kufanya utafiti kujua hii animal inbreeding na majibu niliyoyapata yapo kama ifuatavyo:
Ni hivi kutokana na uchache wa faru ktk eneo lilojifunga kijiografia la creta faru wote walikuwa ndugu yaani faru John alikuwa anawazalisha dada zake na watoto wake na wajukuu zake. Sasa hii kibaiolojia sio nzuri kwani inaweza kuathiri mfumo wa uzaaji yaani kama kulikuwa na tatizo la kinasaba la kusababisha ulemavu au kupungua nguvu za kuzalisha au kufa mapema kwa ugonjwa flani au kuto kuzaa toka ktk faru John au wajukuu zake basi lilikuwa linarithishwa na kukuzwa (amplified kwa vizazi vyake) ingefika maali wangekuwa hawazaani au wanakufa kwa ugonjwa flani wa kurithi au wanalemaa kwa ugonjwa wa kurithi. Hii ndio inaitwa tatizo la inbreeding ya wanyama. Ni aina ya incest. Hii ndio sababu wewe binadamu hauruhusiwi kumuoa dada yako. au ndugu yako yeyote.
Tafadhari unaweza kuongeza au kukosoa chochote katika bandiko hili kwani mimi sio mwanasayansi wa baiolojia.
Binafsi nimekuekewa kwa hali ya juu sana.
 
Mkuu hata mimi naungana na wewe kuuliza swali hilo. Lakini ktk bandiko hili nililenga kuwajulisha watu maana ya inbreeding basi. Haya ya ilikuwa sahihi au kuna wizi au ubadhirifu nisingependa kuchangia sana kwa vile siujui ukweli wa tukio zima.
Una Hekima na Busara ktk kuchangia. Safi sana.
 
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hii habari ya faru maaarufu aliye fahamika kwa jina la faru John. Watu wengi hasa sisi ambao hatukusoma baiolojia ktk elimu ya sekondari tumekuwa tukijiuliza hivi hii sababu ya kukwepa tatizo la animal inbreeding ndio nini hasa? Je ina mashiko. Sasa ilinibidi niende kufanya utafiti kujua hii animal inbreeding na majibu niliyoyapata yapo kama ifuatavyo:
Ni hivi kutokana na uchache wa faru ktk eneo lilojifunga kijiografia la creta faru wote walikuwa ndugu yaani faru John alikuwa anawazalisha dada zake na watoto wake na wajukuu zake. Sasa hii kibaiolojia sio nzuri kwani inaweza kuathiri mfumo wa uzaaji yaani kama kulikuwa na tatizo la kinasaba la kusababisha ulemavu au kupungua nguvu za kuzalisha au kufa mapema kwa ugonjwa flani au kuto kuzaa toka ktk faru John au wajukuu zake basi lilikuwa linarithishwa na kukuzwa (amplified kwa vizazi vyake) ingefika maali wangekuwa hawazaani au wanakufa kwa ugonjwa flani wa kurithi au wanalemaa kwa ugonjwa wa kurithi. Hii ndio inaitwa tatizo la inbreeding ya wanyama. Ni aina ya incest. Hii ndio sababu wewe binadamu hauruhusiwi kumuoa dada yako. au ndugu yako yeyote.
Tafadhari unaweza kuongeza au kukosoa chochote katika bandiko hili kwani mimi sio mwanasayansi wa baiolojia.
Umeingolea vizuri na kwa lugha nyepesi sana.
 
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hii habari ya faru maaarufu aliye fahamika kwa jina la faru John. Watu wengi hasa sisi ambao hatukusoma baiolojia ktk elimu ya sekondari tumekuwa tukijiuliza hivi hii sababu ya kukwepa tatizo la animal inbreeding ndio nini hasa? Je ina mashiko. Sasa ilinibidi niende kufanya utafiti kujua hii animal inbreeding na majibu niliyoyapata yapo kama ifuatavyo:
Ni hivi kutokana na uchache wa faru ktk eneo lilojifunga kijiografia la creta faru wote walikuwa ndugu yaani faru John alikuwa anawazalisha dada zake na watoto wake na wajukuu zake. Sasa hii kibaiolojia sio nzuri kwani inaweza kuathiri mfumo wa uzaaji yaani kama kulikuwa na tatizo la kinasaba la kusababisha ulemavu au kupungua nguvu za kuzalisha au kufa mapema kwa ugonjwa flani au kuto kuzaa toka ktk faru John au wajukuu zake basi lilikuwa linarithishwa na kukuzwa (amplified kwa vizazi vyake) ingefika maali wangekuwa hawazaani au wanakufa kwa ugonjwa flani wa kurithi au wanalemaa kwa ugonjwa wa kurithi. Hii ndio inaitwa tatizo la inbreeding ya wanyama. Ni aina ya incest. Hii ndio sababu wewe binadamu hauruhusiwi kumuoa dada yako. au ndugu yako yeyote.
Tafadhari unaweza kuongeza au kukosoa chochote katika bandiko hili kwani mimi sio mwanasayansi wa baiolojia.
Kwa vile suala la faru John limeingia siasa, hebu tuone kinachoendelea kwani kibaiologia kumuondoa faru John ilikuwa sahihi na kwa bahati nzuri hata huko alipopelekwa alifanya kazi nzuri sana kwa kudunga mafaru jike zaidi ya wanne mimba na hivyo kuwezesha genes zake kuendelea kuwepo kwa mizao ambayo hana mnasaba nayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom