Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
fainali itakua kati ya real madrid na barcelona. hapo vipi
haiwezekani kwa ratiba hiyo lazima mmoja afe ili mwingine apone
fainali itakua kati ya real madrid na barcelona. hapo vipi
1. Real madrid v totenham
2. Chelsea v manchester united
3. Barcelona v shaktar donesk
4. Inter milan v shakle 04
Bring on hao Chelski watandikwe na Manure...
Taratibu usipige kelele wakikusikia utapewa ban .... ..... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yupo moja anazurulazurula humu utafikiri yatima.
Nimekugongea senksi, yaani mpaka hapa tulipofika bado watu hawaamini kuwa lazima tufike Wembley! Mdharau mwiba guu huota tende!, methali nyingine kwa msisitizo!madrid analambwa na jogoo QF. semi jogoo anapiga na barca, barca anaaga mashindano rasmi . fainali ni jogoo na blues. jogoo to win the CL. hii haina mjadala kabisa yaani
Taratibu usipige kelele wakikusikia utapewa ban .... ..... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yupo moja anazurulazurula humu utafikiri yatima.
Wewe kwenye majukwaa ya MABINGWA unatafuta nini?!!
Hahaha hii comment imenifanya nicheke kwa sauti hapa....Wewe kwenye majukwaa ya MABINGWA unatafuta nini?!!
mkuu season hii we mean biznez. hakuna morinyo wala mjombaake morinyo. acha nikabook flight ya barnabeu kabisaNimekugongea senksi, yaani mpaka hapa tulipofika bado watu hawaamini kuwa lazima tufike Wembley! Mdharau mwiba guu huota tende!, methali nyingine kwa msisitizo!
West Brom/Arsenal
Naona watu wana i-underate Spurs...i believe itaonyesha maajabu na kufika final..