MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Hapa chuoni kwa takriban wiki mbili sasa wanachuo wengi wanasumbuliwa na macho, ukienda kituo cha afya hapa udsm kila mwanachuo anasumbuliwa na macho!lakini Niimani yangu Hapa Jamii forum ndo kila kitu ni darasa huru kwa wanajmii tusaidien ni jinsi gani ya kujikinga na tiba yake.