mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
Tatizo hizi ranks zinatofautiana, hatujui tumwamini yupi...ila tutabaki kuamini kuwa tunashuka!
Unajua kila rank hupangwa kulingana na vigezo mbalimbali, kwa mfano kuna baadhi ya rank hutolewa kwa kuangalia idadi ya watu wanaotembelea website ya chuo, vigezo vingine ni kama idadi ya walimu, output/publications zinazotolewa na Lecturers/profesors, n.k