elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 168
- 23
Wana jf kuna habari kuwa hadhi ya chuo kikuu cha dar es salaam inazidi kuporomoka kutokana na vyuo vya ardhi na mhimbili kujitenga.sasa imebaki engineering tu inachokibeba chuo.aidha inadaiwa kuwa tofauti na prof luhanga makamu mkuu wa sasa anaendekeza siasa badala ya taluma na utafiti.sua sasa wanashika nafasi ya 28 kwa ubora africa wakati mwaka jana walikuwa wa 78.