Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Katufu
UDSM itakuja haribiwa na general selection ya TCU, Wahadhiri wawe
ngangari ili kuchuja pumba na mchele maana wanafunzi wengi kutoka
Yeboyebo ni vilaza sana tofauti na awali ambap chuo kilikuwa kinachukua
best of the best students.
Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Mnaelewa maana ya web ranking lakini? hebu fanyeni utafiti kwanzaChuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Katufu UDSM itakuja haribiwa na general selection ya TCU, Wahadhiri wawe ngangari ili kuchuja pumba na mchele maana wanafunzi wengi kutoka Yeboyebo ni vilaza sana tofauti na awali ambap chuo kilikuwa kinachukua best of the best students.
mbona wengine hatuelewi, au kila mmoja ana dunia yake, au Afrika Mashariki sio sehemu ya hiyo dunia!!?Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Udom vipi
Na wewe mbona huelezi maaana yake? Kama huna cha kuchangia si unyamazeMnaelewa maana ya web ranking lakini? hebu fanyeni utafiti kwanza
Halali kabisa maana udsm walivyojipanga kimkakati hakika ushindi huu ni wao na pia ni wa watanzania wote.hongereni sana wakuu kazi njema.
Jibu ni hili
Hivyo hakiwezi kuwa kwenye rank za dunia!!