Udsm yageuka danguro wakuu

We mwanzisha thread uwe unatumia akili muda mwingine.stor yako haina mashiko!huwezi kusema udsm imegeuka danguro kwa tukio kama hilo.ile ni taasisi ya kuheshimika.so usikichafue chuo kwa ujinga wako!
 
jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari kwa hasira na kumpiga kichwa auxiliary police ofisa hadi kumpasua kwenye paj la uso ,ndipo mwanaume huyo alikamatwa na kupelekwa kituon ndipo alipigwa fain ya shiling 3,000,000 na kuachiwa na katoto hako ka kike ni mwaka wa kwanza hata shule hakajazoea kanabembeleza viongiz wa DARUSO JAMBO HILI LISIFIKE Mbali kwan ofice ya dean of students ikifaham atafukuzwa chuo kwa MUJIBU wa sheria ndogo ndogo za chuo,jaman dunia imekwisha ,maeneo ya hall 3 kwa maeneo ya campus ndo uwanja wa vita kama meada ,buguruni au ambiance,jaman wengine wanauza kabisa kunavyumba maalum ukitaka unapelekwa unapata service this is terrible ma dear

acha kuharibu sifa ya chuo chetu. Unavumisha kwa chumvi nyingi mno. Utapafananishaje udsm na buguruni wewe?
 
Enzi zetu mzee PUNCH angekuumbua manake angemwanika huyo binti na jamaa yake wazi mchana kweupeee!
Inaonekana "Mzee" amegraduate ama amekufa
Hajafa ila kagraduate, maisha yanasonga mbele, ni mtu mwenye nafasi kwa sasa.
 
jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari kwa hasira na kumpiga kichwa auxiliary police ofisa hadi kumpasua kwenye paj la uso ,ndipo mwanaume huyo alikamatwa na kupelekwa kituon ndipo alipigwa fain ya shiling 3,000,000 na kuachiwa na katoto hako ka kike ni mwaka wa kwanza hata shule hakajazoea kanabembeleza viongiz wa DARUSO JAMBO HILI LISIFIKE Mbali kwan ofice ya dean of students ikifaham atafukuzwa chuo kwa MUJIBU wa sheria ndogo ndogo za chuo,jaman dunia imekwisha ,maeneo ya hall 3 kwa maeneo ya campus ndo uwanja wa vita kama meada ,buguruni au ambiance,jaman wengine wanauza kabisa kunavyumba maalum ukitaka unapelekwa unapata service this is terrible ma dear


Hebu nitajie ni ni vyumba gani hivyo? Namba za vyumba nije kukamua weekend hii badala ya kwenda club maana nako si salama
 
acha kuharibu sifa ya chuo chetu. Unavumisha kwa chumvi nyingi mno. Utapafananishaje udsm na buguruni wewe?

Udsm ilikuwa zamani bhana, siku hizi watu wanasomea madirishani!!?? siku hizi watu waoga kama nini? kipindi hicho FOE inaitwa FOE. Tatizo siku hizi hata wenye Div. III na IV wanaenda unategemea nini?
 
Hiyo milioni 3 faini kalipia kwa nani? Unajua danguro ni nini?
 
We uliyepost hiyo thread uache USHAMBA.Watu wawili hawawezi kubeba taswira ya chuo kizima.Usiwaaminishe watu walione ni suala kubwa kwa ushamba wako.Hayo ni mambo ya kawaida kwa taasisi kubwa kama hiyo. Na pia, masuala ya mahusiano ni ya mtu binafsi na yasihusishwe kabisa na jumuiya nzima ya chuo kama unavyowadanganya watu.Kama wewe ni mwanachuo hapo kazana kusoma ili ujifunze mambo na uache kufuatilia mambo usiyokuwa na faida nayo. Cha msingi tumia imani yako kuwaombea ili wenye tabia hizo waache.
 
mkuu nipo hapa udsm sasa kwa taarifa zako nilikua naomba kujua wana charge kama sh,. ngapi? ili niend hapo kwani sikai mbali na hall tajwa nipo hall 2,,,,nijuze zaidi mkuu.
 
HATA HAUSOMEKI VILE. KITU UNACHOANDIKA HAKIELEWEKI HATA KIDOGO. HIVYO VYUMBA VIKO KWENYE HALLS ZA WANAFUNZI AU? INAMAANA OFISI YA DEAN IMEWATENGEA WANAFUNZI VYUMBA VYA KUFANYIA NGONO WKT ROBO TATU YA WANAFUNZI WANAKOSA VYUMBA KILA MWAKA UDSM? JE HUYO AUXILARRY POLICE ALIYEPIGWA NI KWANINI? YEYE NDIYO ALIKUWA NA HUYO MSICHANA KWENYE GARI AU NANI? NI HAKIKA HUELEWEKI KABISA NA INAONEKANA NI HADITHI ZA KUOKOTEZA TU. HUYO MWANAFUNZI, KAWEKWA NDANI, THEN KATOA 3,000,000; HIZO KALIPIWA NA NANI? UNATEGEMEA KESI IFIKE AUXILARY BILA UTAWALA KUWA NA TAARIFA? JE HUYO MSICHANA ALIKUTWA KWENYE GARI YA JAMAA ANAONGEA AU ANAFANYA NGONO? JARIBU KUWA UNATAFAKARI TAARIFA ZAKO KABLA YA KUZIPOSTI HAPA. Na ujaribu kuwa makini na title zako, Huo Udanguro wa UDSM umetokana na nini, kwamba kuna msichana kakutwa na mshikaji wake kwenye gari; then unakimbilia kuhitimisha kwamba UDSM danguro? Jaribu kuwa na fikra za kuto-generalize Taasisi nzima kwa uelewa wako ambao inaonekana hauna uhakika na unachokiandika hapa.
Weka picha za hao wanaojiuza na hivyo vyumba kama unavyo vipo kama siyo kutudanganya hapa.

Good analysis...... hope atajua tofauti ya hapa tweeter
 
Back
Top Bottom