wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
Wanachuo wa chuo cha uhandisi udsm wametimuliwa leo saa sita mchana
Ni wao peke yao au chuo chote maana uhandisi ni kitivo tu na mgomo ulikuwa wa chuo chute iwaje watimuliwe wao peke yao? Nijuzeni.Wanachuo wa chuo cha uhandisi udsm wametimuliwa leo saa sita mchana
Ni wao peke yao au chuo chote maana uhandisi ni kitivo tu na mgomo ulikuwa wa chuo chute iwaje watimuliwe wao peke yao? Nijuzeni.
kulikuwa na migomo miwili, mangwini ndo wanadai nyongeza ya boom na coet wanashinikiza kurejeshwa jamaa mmoja finalist aliyekamatwa akidesa kwenye supp. na kilichotokea alisaini kukamatwa na desa ila desa akalitafuna, so no ushahidi
Ni wao peke yao au chuo chote maana uhandisi ni kitivo tu na mgomo ulikuwa wa chuo chute iwaje watimuliwe wao peke yao? Nijuzeni.
Mgomo wa coet ni wa upuuuzi mtupu, yaan badala ya kugomea masuala ya msingi wanagoma ili eti disco ya kilaza mabala itenguliwe! Hizo ni fikra fupii sana,, mtu ameshikwa kabisa akidesa na inadaiwa huyo Mabala ni mdesaji wa kila pepa ila hyo juzi ilikuwa 40 yake, ukwel ni kwamba wengi wenu mnaogoma huko coet kwa kisingizio aludishwe mabara waoga wa pepa mnaona ratiba ya UE imetoka ndo mnadai kugoma!