Hiki sio chuo cha kata.....good!
VYUO VYA KATA VINAJULIKANA, Wanafunzi wake hawana fikra wanasubiri kujipendekeza kwa mkwere na masalia yake.
wakizani ni suluhisho la kupata mikopo, maji au taaluma. I HATE THEM SOOOO! MUCH
wew KIPUSY ni mmoja katika waliosoma vyuo vya kata, kwa tuliosoma udsm tunajua nyota ya udsm inavyong'ara karibia kila nchi tuendayo.. Crazy!!!!!!:ban:
VYUO VYA KATA VINAJULIKANA, Wanafunzi wake hawana fikra wanasubiri kujipendekeza kwa mkwere na masalia yake.
wakizani ni suluhisho la kupata mikopo, maji au taaluma. I HATE THEM SOOOO! MUCH
Nadhani we ndo hauna fikra!vyuo vya kata ni vipi?na vimejengwa lini?nachofahaum Tanzania tuna vyuo vya serikali,mashirika binafs na Taasisi za dini! Ongelea maswala ya kujenga kama mtu makin!Hongeren sana wasomi wa UDSM kwa kuliona hili,maana askari wa Jk cku hz hawalindi usalama bali wako kuvuruga amani!Watu wa Haki za Binadam shughulikien hawa vibaraka!
wanafunzi wa MLIMANI wamelaani mauai ya raia mkoani Arusha yaliyofanywa na Polisi na kuitaka serikali kufikisha polisi hao katika vyombo vya sheria.
ITV HABARI-20:00
Nahisi utakuwa na degedege sababu maneno unayoyasema hayana mantiki kama msomi ambaye angependa naye mwenzake apate elimu kama wewe ulivyopata badala ya kumuunga mkono nyie ndo mnashangilia na maneno ya kinafiki. hatuendi ivyo kwani watoto wa wakulima ndio 2po kata hakuna walimu, shida kibao ila kumbuka sisi ndio 2naoona uchungu wa elimu na kupigania haki kutoka 2lipo 2we upo mlipo. One love wajameniKimojawapo ni UDOM
Na Kilijengwa msimu wa ujenzi wa shule za kata
kwa ajili ya wanafunzi wa shule za kata
walimu wake ni wa voda fasta
na wanafunzi wanalia ukata
Ulishaona wapi chuo ambacho kinagoma wengine hawagomi?
Nendeni hizo COLLEGE nyingine mwachape viboko!!!!!