FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Efraim kibonde ni mtanzania, ana uhuru wa kutoa maoni yake, wanafunzi wa udsm ni watanzania wana uhuru wa kutoa maoni yao, hatutajali ni maoni gani na yanamlenga nani isipokuwa maoni hayo yataashiria uvunjifu wa amani.........kushnei.
Awe ana gentleman division au div 1 hapa siyo hoja tunataka kujua mantiki ya hoja iliyopo na madhira yanayotokana na hayo.
Tuchape kazi wananchi mwacheni efraim na mdumange wake na udsm wakomae na wa kwao..... Tukiona side yenye mdumange wenye manufaa ya umma, let's join hand with them without shame
Awe ana gentleman division au div 1 hapa siyo hoja tunataka kujua mantiki ya hoja iliyopo na madhira yanayotokana na hayo.
Tuchape kazi wananchi mwacheni efraim na mdumange wake na udsm wakomae na wa kwao..... Tukiona side yenye mdumange wenye manufaa ya umma, let's join hand with them without shame