udsm wacharuka na kibonde...

Inawezakana siwafahamu jack labda unieleweshe NI WAPI HAo.sina uhakika na ntwk kama sitajibu ujuwe sipati mtandao ila nitarejea kusoma response zako anytime

kama huwafahamu kaa kimya!take your time to know them.tafuta facts kabla ya kuropoka.
 
Aaahahaha,is dat the best u came with dear jack.common guy try hard boy i know you can
 
Aaahahaha,is dat the best u came with dear jack.common guy try hard boy i know you can
 
@elungata,nadhani hujajitambua kwa unachonena na muda wote nilitambua kuna mijitu kama wewe ambayo nahisi ipo ulaya inakuwa na mentality ya kuwa kisomi kipo huko ulaya,acha ujinga wako na ukiazi wako ,wewe na akili yako cjui yule kibonde ni kibonde mwenzio au huwa anakusifia...acha ufala,wewe mtu gani unayesifia ujinga,acha ushabiki wa chooni,we elungata hushangai wtu wote wanamlalamikia huyu mbwa wkt wewe unajidai unamsifia,to hell badilika,and ukweli uwe ukweli.
 
Jamani hizo d,na f,na kibonde ndyo nini mleta mada umeingiajd chuo kikuu cha Tanzania???kama mnaweza kushikamana kwa ajili ya Kibonde anayetetea mkate wake kwakuongea??kosa lake nini??au hamjui kazi yake??yeyr asipoongea watoto hawaendi chooni bila kujali ameongea nini!!!yeye kazi yake nikuongea siku ipite!!Pili mshikamano wenu kama wana chuo tena chuo kikuu nilitegemea mmeandamana katika maswala ya msingi,kama mikopo,Kupandishwa bei bidhaa,Dowans,kupingamikataba mibovu inyoingiwa na serikali,etc Sasa mnaandamana kwa ajili ya Msema chochote??(MC)Hamuoni vichwani kwenu kuna hombwe????
 
I was not aware that kibonde is highly valuable and respectable and enfluence person in dis country so as wasoma wanaandamana to be against his point of view.
Nijuavyo mimi kibonde is nothing anatumia uhuru wake kusema maoni yake kutokana na level ya uelewa wake.
So kwanini wasomi wetu wapoteze muda kwa maoni ya mtu kama kibonde? upuuzi.
 
@kaka kiza and pauls,at least u said somthng that click in mind,those wasomi should opt for the means to demand for their rights and leave alone a fool na u-fool wake,let kibonde be kibonde...
 
Aaahahaha,is dat the best u came with dear jack.common guy try hard boy i know you can.
Kama nimeotea yani poor ntwk anywy mara hii mshanipachka uahouseboi .very interesting haya endeleni kuonyesha usømi wenu wasomaji watajurge who is a nutjob and who is not.
Eti tatizo ni miafrika...ooh,sorry jack sikujua kumbe mwenzangu MZUNGU,..by da way which univest are u boy ,STANFOD .
Sorry mi c kibonde kwani jamaa kafanyaje au ndo anayebana mikopo
 
Kakakiza amelonga kibonde c issue kuna issue za maana kibao tu badala ya kumpa ujiko huyo kibonde tatizo mnoveract ona saa mshaanza kusema nko majuu mnanipa chati eeh.mwenzenu hata isbania sijavuka.ANYWAY PEACE nisiwakoroge sana wasomi wetu.
 
Kilaza ndiye anapaswa kujua four inaishia ngapi na zero inaanzia wapi lakini mtabe yeyote anapaswa ajue tu one inaishia wapi na kama ni kichwa zaidi single digit zinaishia wapi full-stop.

th! th! th! comment yako ni kama utani lakini ina ukweli ndani yake! lakini ni vizuri pia kujua system zinaendaje!
 
I was not aware that kibonde is highly valuable and respectable and enfluence person in dis country so as wasoma wanaandamana to be against his point of view.
Nijuavyo mimi kibonde is nothing anatumia uhuru wake kusema maoni yake kutokana na level ya uelewa wake.
So kwanini wasomi wetu wapoteze muda kwa maoni ya mtu kama kibonde? upuuzi.

Hivi wewe bado hujaanza kuutilia shaka uwezo wa hao mnaowaita "wasomi"?
 
Kakakiza amelonga kibonde c issue kuna issue za maana kibao tu badala ya kumpa ujiko huyo kibonde tatizo mnoveract ona saa mshaanza kusema nko majuu mnanipa chati eeh.mwenzenu hata isbania sijavuka.ANYWAY PEACE nisiwakoroge sana wasomi wetu.

sasa umeanza jipendekeza kwa kakakiiza ee?we mtoto sijui una nini wewe.hebu tueleze kitu kimoja ulichovumbua wewe kama elungata.endelea kuosha makalio ya wazee huko uliko.
 
ninashaka na elimu yako wewe, hata hujui four inaishia point ngapi? tena point 28 unazozitaja hauna hata hakika nazo bali unadhani tu! Usitake kuupotosha UMMA.

Msimlaumu, unajua wengine tulipokuwa tunasoma tulikuwa hatufikirii kupata division three, four au zero. Sasa mtu kama unapiga hesabu ya kupata Division One au Two, utajuaje mipaka ya division four huko inakoishia? Hata mimi nilipo hapa sijui Four inaishia point ngapi na zero inaanzia wapi, kwa sababu sikuwa naziwaza hizo division! Heri yenu mliokuwa mnakosa usingizi kwa kuwaza limit ya division four na zero!
 
Kaka nijuavyo mimi ukiwa na D mbili basi unakuwa na div 4 ya points 28 na nadhani ndio ya mwisho na ikiwa utapata D moja basi unakuwa na points 29 na unapata Div 0 sasa ikiwa ni kweli ana points 33 basi ana ziro na kama akiwa na D mbili atakuwa amepata Div 4

SHOSSI, ujuavyo si sahihi, labda kama ni uttaratibu wa ZANZIBAR sijui ila NECTA 33 ni division four, 34 na 35 ndio sifuri.
kwa ujuzi zaidi:-
  • A = 1
  • B =2
  • C =3
  • D= 4
  • F = 5. Na masomo yanayotumika kugredi division ni saba uliyofaulu vizuri kiliko yote uliyofanya. kwa hiyo basi, ukiwa na D moja 4 + (5 *6) = 34; D mbili (4*2) + (5 *5) = 33, ambayo ndio four ya mwisho ya D mbili.
nadhani ntakuwa nimekusaidia kujua usahihi wa mgawanyo wa division.
 
Back
Top Bottom