Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
kwa taarifa nlizonazo toka kwa wanaharakati Leo wameitisha Rev Square na misimamo ni kwamba wataandamana hata kama yamepigwa marufu. Wanaharakati wametoa waraka wakidai kama ni Al shabab basi na Mech ya simba na yanga ifutwe ↲
Wanaharakati wanadai kwamba Kova kasema kuandamana ni kuingilia uhuru wa Mahakama Ila wanadai kwa Rex attorney wamepeleka Intention to appeal hivo hyo sio kesi.↲
ngoja tuone hiyo kesho harakati
Wanaharakati wanadai kwamba Kova kasema kuandamana ni kuingilia uhuru wa Mahakama Ila wanadai kwa Rex attorney wamepeleka Intention to appeal hivo hyo sio kesi.↲
ngoja tuone hiyo kesho harakati