mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 851
- 127
na kwa kuwakumbusha tu ni kuwa wazungu hawajengi mtaro, ila wanaziba pale maji yanapotoka.
kwa hiyo kuwasimamisha masomo wanafunzi au kuwaitia FFU ni sawa na kujenga mtaro.
ila kama watakaa chini na kusikiliza wanachokitaka then wakubaliane itakuwa ni sawa na kuziba maji yanapotoka.
Nakubaliana nawe kabisa lakini kitendo cha kuvunja mageti na kuleta fujo katika makazi ya viongozi halikuwa jambo la busara haswa tukitegemea kuwa hawo vijana ndio viongozi wa kesho