tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Samahani wakuu hivi kama hukupata mkopo zile pesa za Meals & Accomodations unatakiwa kuzilipa ama? Naomba nieleweshwe.
unalipa lakin unajilipa mwenyewe<meals>, accomodation unawalipa.
Samahani wakuu hivi kama hukupata mkopo zile pesa za Meals & Accomodations unatakiwa kuzilipa ama? Naomba nieleweshwe.
Break news Wanafunzi wametakiwa kulipa ada zao ndo wapate Boom lao ifahamike pesa imeingia leo Udsm bt Maboko katoa tamko No bum bila Ada Je? Hawajui kwamba watoto maskini mh wanategemea bum mh Habari kamili waziri wa Mikopo Daniel Amezitoa Wanaharakati mnasemaje
wao wameshika mpini,nyie mmeshika makali,sasa 2one kama huo mgomo kama utatokea,we goma au anzisha vurugu urudi kwenu kijijini,pumbav
unalipa lakin unajilipa mwenyewe<meals>, accomodation unawalipa.
Break news Wanafunzi wametakiwa kulipa ada zao ndo wapate Boom lao ifahamike pesa imeingia leo Udsm bt Maboko katoa tamko No bum bila Ada Je? Hawajui kwamba watoto maskini mh wanategemea bum mh Habari kamili waziri wa Mikopo Daniel Amezitoa Wanaharakati mnasemaje
Lakini hii siyo sawa.Chuo kingefanya hivi:kwa kuwa hela yote ya mwanafunzi inapitia kwao basi wakate zile zinazowahusu then kiasi kinachobaki wampe stahili yake mwanafunzi,naamini mtu ukiamua kwenda ya 0-1-1 tena ile ya low quality una-survive kabisa.
bt asilimia 85 ya wanafunzi wa UDSM wamelipiwa 80/percent so nikiasi cha kumalizia tu kiungwana ili mtu upewe chako.
nani kakudanganya?
wa2 2meisha wasili kwenye uwanja wa vita cku nying, 2nasubiri amri ya makamanda 2lianzshe huku..hadi kieleweke mwaka huu.Kama kawaida nimesikia wanaharakati wa UDSM wamesema mpaka tarehe 1/10/2011,endapo BOOM halitaingia basi pale chuoni patageuka LIBYA,kauli yao ni "Maboko jiandae tupo kwenye basi la kutoka TARIME ndo tunakuja ni trafki ametuchelewesha kidogo"
bt asilimia 85 ya wanafunzi wa UDSM wamelipiwa 80/percent so nikiasi cha kumalizia tu kiungwana ili mtu upewe chako.