Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Hivi swimming pool ya chuo ambayo kwa kweli ni moja ya swimming pool nzuri mjini, imefungwa kabisa? Kuna kipindi ilikuwa inaoperate, ila hali yake ilikuwa mbaya. Maji machafu na ilikosa kabisa mvuto. Ina maana hakuna wanafunzi na watu wa nje wanaotaka tena kuitumia kwa masomo au kwa ajiri ya mazoezi ya viungo?