Mbaya zaidi unawezakuta wala hakuwa HIV.
Kaka naona umechangia thread bila kuisoma
duuuh HIV noma lakini jamani
rip kijana mdogo
so alianza mapenzi secondary? ni hatari lakini
achaneni na maswala haya ya ukimwi nafikiri naweza kuwa na maamuzi kama haya la sivyo niwekewe boadguard kwa kweli nauogopa sana mie kuishi eti kwa matumaini siweziiiiiiiiiiiii ni bora sijiu nitaishi milele au nitakufa lini sijui kuliko najua lazima nife siwezi mie HorsePower my kaka help me
mkuu niache tu ndugu yangu hilo suala nahisi nimelicompicate sana kama nimekunywa sumu mbaya vile niache tu woga wangu uanisaidia wakati wengine wanaweza niona mjinga sana siwezi kuwa pango mienivea,ukipanuka sana kiufahamu juu ya ukimwi utaona huna sababu ya kujiua,nawafahamu watu wanao for years and years na wanasonga mbele kama kawaida with much confidence.kwani hata ukiwa hauna ngoma si unajua tu lazima ufe?au jiulize kwani ukiwa na ngoma mwisho kuishi ni miaka mingapi?
mkuu niache tu ndugu yangu hilo suala nahisi nimelicompicate sana kama nimekunywa sumu mbaya vile niache tu woga wangu uanisaidia wakati wengine wanaweza niona mjinga sana siwezi kuwa pango mie
ndugu yangu wewe ulipata elimu yakuambiwa mimi nimepata elimu yavitendo tu wawili tofauti nimeuguza ninaishi nimeona so namimi sio wenye 20's am over that so belive me nimeshuhudia mengi so niache niogope fimbo unayotumia kuchapia ng'ome akakuelewa unaweza uchapie punda asikuelewe akabaki amesimama wala asisense chochote.have mercyusijali wenzako tulikuwa waoga kuliko wewe lakini elimu na ufahamu juu ya ukimwi ukatufanya tujiweke tayari kwa lolote wakati wowote!mshauri nasaha mmoja wa zamani alinipa busara kubwa...nilipoona niko negative nikataka cheti,akaniambia "cheti sio muhimu sana,tofauti na cheti cha elimu ukishahitimu hakuna kitakachoondoa thamani ya cheti chako,hiki cha hiv status hata ukitoka hapa ukaenda pata maambukizi leoleo kitakuwa hakina thamani tena...muhimu ni wewe kujitunza na kujilinda" kuna busara nyingi sana ndani ya kauli yake hiyo
nimewaza vingine niliposoma hapanivea,ukipanuka sana .......
Poor Pre test counselling(PITC), why would one let vigour young man die bse of HIV/AIDS test results?!.anyway alot can be speculated tjough as he(deceased) said, "bse of number of difficulties"