nover
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 235
- 174
kwa wale wanaodhani kua zile herufi za mwisho kwenye matokea ya o level ni grade ya mkopo sio sahihi.Kama ukiangalia matokeo ya watu wengi o level hayaja kamilika sababu ile space ni too short kuandika kila kitu. as a result zile herufi ni mwanzo tu wa somo jingine mfano A ni agriculture, B ni basic mathematics au book keeping, C ni chemistry ama commarce......kama ukitaka kuhakikisha angalia wote mnaosema wamewekewa grade B, hawana basic maths results/book keeping, ambao hawana erufi/grade ni waliochukua masomo machache(8) hivyo kutoshea .nawasilisha wakuu