UDSM Rudisheni Mtihani wa Mchujo Kujiunga na Chuo kuchuja Makapi ya TCU

kanga

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
1,025
494
Wana jf katika kutafakari timbwili timbwili za elimu ya awali nashauri, UDSM irudishe utaratibu wa zamani kwa wanafunzi wote wanao chaguliwa kuanza shahada ya kwanza kufanya mtihani maalum kwa ajili ya kupima na kubaini uwezo wao kumudu masomo ya elimu ya juu waliyoomba bila kujali alimepata daraja la kwanza point tatu au daraja la tatu na wanapofaulu mtihani huo ndio waruhusiwe kujisajili kwa ajili ya kuanza masomo ya shahada ya kwanza.

Hii itasaidia kuendelea kulinda ubora na hadhi ya Chuo kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa kwa kutoa wahitimu wenye uwezo na ubora kukidhi viwango vya kimataifa.Kwa mtindo wa sasa wa TCU kupanga wanafunzi kwa kuangalia kozi mwombaji aliyoomba, UDSM imejikuta ikipokea wanafunzi vilaza kabisa ambao kwa kweli ni aibu baadae kwa chuo chenyewe kama hakutakiwa na mkakati makini wa kudhibiti wanafunzi wenye uwezo ndio wanachaguliwa na kuanza masomo.

Zamani kuingia UDSM kulikuwa na cuttoff points kulingana na aina ya shahada na alama za chini ili mwanfunzi achaguliwe katika kitivo au college, UDSM pamoja na kwamba inatakiwa kufanya kazi na TCU ,sera na malengo ya UDSM yazingatiwe ikiwa ni pamoja na kuchagua wanafunzi wenye ubora na uwezo na kwa kuwa vyuo vya elimu ya juu ni vingi wanafunzi wasio na sifa hizo wanaweza kujiunga na vyo vingine vya umma na binafsi.Hii itaendelea kukijenga chuo chetu cha Mlimani (UDSM).

Naamini sababu zifuatazo pia ni mjalabu wa kutaka mtihani wa mchujo wa kuingia MLIMAN urejeshwe.Maendeleo ya elimu yetu kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu ,madhila mengi yameonekana siyo kwa sektor yenyewe bali pia kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla.Kuongezeka kwa shule za Kata na pasipo kuwa na huduma muhimu kumeathiri ubora wa elimu kwa kiasi kikubwa nchini.

Udanganyifu wa wakati wa matokeo kwa mitihani ya ngazi mbalimbali za msingi na sekondari pia ni tatizo la kupata wataalam waliobora kwa kiwango cha juu.Taarifa za mwaka 2012 zaidi ya wanafunzi 5,000 walichaguliwa kuingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika.Kulinda Heshima ya chuo kikongwe na alama ya Taifa letu,Bila UDSM Imara elimu ya Juu itakuwa goigoi na legelege.

Kuendelea kuandaa wakufunzi na wahadhiri waliobobea na weledi katika taaluma kwa ajili ya vyuo vya elimu ya juu vya umma na binafsi. Kwa sasa hakuna chuo chochote cha elimu ya juu cha binafsi au umma kisichofaidika na matunda ya mafanikio ya chuo cha Mlimani kwa kutoa wakufunzi waanzilishi.:clap2:
 
Sijaona mantiki ya kuanzisha mtihani wa mchujo katika maelezo yako. Kama mwanafunzi kachaguliwa kujiunga na chuo na akafanikiwa kuvuka vikwazo na kuhitimu kwa kupata degree yake tatizo lipo wapi? Kama una uhakika wa wahitimu wanaomaliza degree UDSM ni vilaza, hoji chuo na si taratibu za kusaili wananafunzi kupitia TCU.
 
hakuna haja ya kuwa na msururu wa mitihani. Jitihada na raslimali zitumike kuhakikisha necta inatoa matokeo ya haki na kweli
 
Mtihani ndio "Bwana wa Mavuno"; Iache "Ngano" na "Magugu" vikue pamoja. Hapo la muhimu ni kutoingiza siasa katika taaluma, ambapo Mhadhiri atalazimishwa kuwafaulisha hata waliofeli.
 
Watu wengine bwana unaposema wenye uwezo mdogo waende vyuo vingine hivi kuna vyuo vya mabwege tz? Acha kujfanya kwsbabu eti wwe ulisoma udsm unajfanya kichwaaa kumbe boga tu huna content?
 
Kila siku Udsm Udsm!! Chuo ambacho wanafunzi wake wanafanya biashara ya kuuza Miili yao na Ukahaba.
 
Wana jf katika kutafakari timbwili timbwili za elimu ya awali nashauri, UDSM irudishe utaratibu wa zamani kwa wanafunzi wote wanao chaguliwa kuanza shahada ya kwanza kufanya mtihani maalum kwa ajili ya kupima na kubaini uwezo wao kumudu masomo ya elimu ya juu waliyoomba bila kujali alimepata daraja la kwanza point tatu au daraja la tatu na wanapofaulu mtihani huo ndio waruhusiwe kujisajili kwa ajili ya kuanza masomo ya shahada ya kwanza.

Hii itasaidia kuendelea kulinda ubora na hadhi ya Chuo kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa kwa kutoa wahitimu wenye uwezo na ubora kukidhi viwango vya kimataifa.Kwa mtindo wa sasa wa TCU kupanga wanafunzi kwa kuangalia kozi mwombaji aliyoomba, UDSM imejikuta ikipokea wanafunzi vilaza kabisa ambao kwa kweli ni aibu baadae kwa chuo chenyewe kama hakutakiwa na mkakati makini wa kudhibiti wanafunzi wenye uwezo ndio wanachaguliwa na kuanza masomo.

Zamani kuingia UDSM kulikuwa na cuttoff points kulingana na aina ya shahada na alama za chini ili mwanfunzi achaguliwe katika kitivo au college, UDSM pamoja na kwamba inatakiwa kufanya kazi na TCU ,sera na malengo ya UDSM yazingatiwe ikiwa ni pamoja na kuchagua wanafunzi wenye ubora na uwezo na kwa kuwa vyuo vya elimu ya juu ni vingi wanafunzi wasio na sifa hizo wanaweza kujiunga na vyo vingine vya umma na binafsi.Hii itaendelea kukijenga chuo chetu cha Mlimani (UDSM).

Naamini sababu zifuatazo pia ni mjalabu wa kutaka mtihani wa mchujo wa kuingia MLIMAN urejeshwe.Maendeleo ya elimu yetu kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu ,madhila mengi yameonekana siyo kwa sektor yenyewe bali pia kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla.Kuongezeka kwa shule za Kata na pasipo kuwa na huduma muhimu kumeathiri ubora wa elimu kwa kiasi kikubwa nchini.

Udanganyifu wa wakati wa matokeo kwa mitihani ya ngazi mbalimbali za msingi na sekondari pia ni tatizo la kupata wataalam waliobora kwa kiwango cha juu.Taarifa za mwaka 2012 zaidi ya wanafunzi 5,000 walichaguliwa kuingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika.Kulinda Heshima ya chuo kikongwe na alama ya Taifa letu,Bila UDSM Imara elimu ya Juu itakuwa goigoi na legelege.

Kuendelea kuandaa wakufunzi na wahadhiri waliobobea na weledi katika taaluma kwa ajili ya vyuo vya elimu ya juu vya umma na binafsi. Kwa sasa hakuna chuo chochote cha elimu ya juu cha binafsi au umma kisichofaidika na matunda ya mafanikio ya chuo cha Mlimani kwa kutoa wakufunzi waanzilishi.:clap2:


Yaani wewe umenishangaza sana,unaona ni bora kurudisha hadhi ya chuo kuliko kudumisha hadhi ya elimu ya juu.Sasa hadhi ya UDSM ikiwa juu na elimu ya juu kwa ujumla ni mbovu wewe kwako ni sawa au unanufaika na nini UDSM kuwa na hadhi ya juu ama ya kimataifa kama unavyosema?

Pili,gharama za hiyo mitihani ya mchujo na wasimamizi itoke wapi?nafikiri huku nikucheza na kodi zetu ndugu wakati kuna TCU inayoendeshwa na kodi za watanzania.Maoni yangu,TCU wangeimarisha kazi yao ya kuchuja watu ili tupate wasomi wengi wenye sifa ya chuo chochote Tanzania.
 
Wana jf katika kutafakari timbwili timbwili za elimu ya awali nashauri, UDSM irudishe utaratibu wa zamani kwa wanafunzi wote wanao chaguliwa kuanza shahada ya kwanza kufanya mtihani maalum kwa ajili ya kupima na kubaini uwezo wao kumudu masomo ya elimu ya juu waliyoomba bila kujali alimepata daraja la kwanza point tatu au daraja la tatu na wanapofaulu mtihani huo ndio waruhusiwe kujisajili kwa ajili ya kuanza masomo ya shahada ya kwanza.

Hii itasaidia kuendelea kulinda ubora na hadhi ya Chuo kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa kwa kutoa wahitimu wenye uwezo na ubora kukidhi viwango vya kimataifa.Kwa mtindo wa sasa wa TCU kupanga wanafunzi kwa kuangalia kozi mwombaji aliyoomba, UDSM imejikuta ikipokea wanafunzi vilaza kabisa ambao kwa kweli ni aibu baadae kwa chuo chenyewe kama hakutakiwa na mkakati makini wa kudhibiti wanafunzi wenye uwezo ndio wanachaguliwa na kuanza masomo.

Zamani kuingia UDSM kulikuwa na cuttoff points kulingana na aina ya shahada na alama za chini ili mwanfunzi achaguliwe katika kitivo au college, UDSM pamoja na kwamba inatakiwa kufanya kazi na TCU ,sera na malengo ya UDSM yazingatiwe ikiwa ni pamoja na kuchagua wanafunzi wenye ubora na uwezo na kwa kuwa vyuo vya elimu ya juu ni vingi wanafunzi wasio na sifa hizo wanaweza kujiunga na vyo vingine vya umma na binafsi.Hii itaendelea kukijenga chuo chetu cha Mlimani (UDSM).

Naamini sababu zifuatazo pia ni mjalabu wa kutaka mtihani wa mchujo wa kuingia MLIMAN urejeshwe.Maendeleo ya elimu yetu kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu ,madhila mengi yameonekana siyo kwa sektor yenyewe bali pia kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla.Kuongezeka kwa shule za Kata na pasipo kuwa na huduma muhimu kumeathiri ubora wa elimu kwa kiasi kikubwa nchini.

Udanganyifu wa wakati wa matokeo kwa mitihani ya ngazi mbalimbali za msingi na sekondari pia ni tatizo la kupata wataalam waliobora kwa kiwango cha juu.Taarifa za mwaka 2012 zaidi ya wanafunzi 5,000 walichaguliwa kuingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika.Kulinda Heshima ya chuo kikongwe na alama ya Taifa letu,Bila UDSM Imara elimu ya Juu itakuwa goigoi na legelege.

Kuendelea kuandaa wakufunzi na wahadhiri waliobobea na weledi katika taaluma kwa ajili ya vyuo vya elimu ya juu vya umma na binafsi. Kwa sasa hakuna chuo chochote cha elimu ya juu cha binafsi au umma kisichofaidika na matunda ya mafanikio ya chuo cha Mlimani kwa kutoa wakufunzi waanzilishi.:clap2:

Hii ilikua janja yao ya kula hela za multiculation bana, kuna madesa kibao ya mitihani hiyo na hua haibadiliswi zaidi ya kuulizwa waziri mkuu wa kwanza Tanzania alikua nani? Hupimi chochote zaidi ya kuchangisha masikini wa Tandahimba ambao hata kula kesho hawana uhakika.....
 
Nawe Tara, unachekesha hadhi ya chuo siyo jina, ukubwa wa eneo au majengo ni output yake (vichwa),Kwa hiyo kama umeshindwa kuelewa hapo na kupata logic yake ndio maana tunataka magugu na mchele vitenganishwe mapema.
 
Ndugu yangu.

Nadhani kuna kitu ambacho bado hujakielewa, Nacho ni kwamba suala la Elimu Dunia hii sio la Ajabu sana kwa nchi nyingi zilizoendelea Uliza watu waliozunguka maeneo mbalimbalia ambako sie tunakopi elimu zao waweze kukueleza watu wanaosoma chuo Kikuu huko wana Uwezo gani.

Nchi nyingi watu wanaokwenda Chuo kikuu wana uwezo wa kawaida kabisa na chini hata ya uwezo wa Vijana wetu wengi katika Nchi ya Tanzania,na unakuta wengi wao wanafaulu katika maksi nzuri. Shida yetu nchi zetu nadhani Walimu na Maprofesa ndio wanatakiwa wapewe shule kuhusu Objectives za kumfundisha mwanafunzi...mwanafunzi kujibu kwenye makaratasi akapata mia hicho sio kigezo kwamba ati ndo atakuja kuwa wa muhimu katika kitu anachosomea...na hilo ndio tatizo la mitihani ya nchi zetu....watu unakuta wamefaulu vizuri,lakini huko kazini "hana matumizi yoyote ya maana"....Wakati wenzetu unakuta mwanafunzi wanakufuatilia kuweza kuona "behaviour yako inaandaliwa ili uwe tayari kuwa mfanyakazi na kujendga uwezo wa kujua majukumu yako ni nini,na kwa nini unahitajika kuwajibika"....mambo mengi inakuwa ni kama kusukumana na kusaidiana kufika unakotakiwa kufika.....na ndio maana wenzetu wanasema "Mwanafunzi kufeli ni aibu ya Mwalimu kwamba ahajui kufundisha"

Sasa ukilalamika kwamba siku hizi wanaenda watu wasio na uwezo Chuo,una maanisha kwamba kipindi kile sie wengine tunamaliza shule,unafaulu mtu mmoja katika darasa la watu mia ndo ilikuwa elimu ile?...Ile haikuwa Elimu,ilikuwa ni Umaskini...kwani ninaamini katika darasa langu lichha ya kwamba nilifaulu mmoja tu,bado walikuwepo wanafunzai zaidi ya 50 ambao walikuwa na potentials nzuri kabisa za kwenda shule lakini ndo hivyo umaskini ulikuwa umetuzidia as a country,hatukuwa na enough resources

Ni lazima watu tuondoe mawazo ya kudhania kwamba shule it means kupata A ama B...Shule it means tuelimishwe na tuwe "useful" kwa jamii yetu...hivyo watu wengi waachwe wapate nafasi ya kueleimishwa.....Maprofesa wabadilike namna ya ku assess wanafunzi...
Na wewe uliyetoa mada ubadilike....vyuo siku hizi vipi kila sehemu....itafika mahali kila mtu ataweza kusoma chuo kikuu,hayo ndiyo maendeleo

Wana jf katika kutafakari timbwili timbwili za elimu ya awali nashauri, UDSM irudishe utaratibu wa zamani kwa wanafunzi wote wanao chaguliwa kuanza shahada ya kwanza kufanya mtihani maalum kwa ajili ya kupima na kubaini uwezo wao kumudu masomo ya elimu ya juu waliyoomba bila kujali alimepata daraja la kwanza point tatu au daraja la tatu na wanapofaulu mtihani huo ndio waruhusiwe kujisajili kwa ajili ya kuanza masomo ya shahada ya kwanza.

Hii itasaidia kuendelea kulinda ubora na hadhi ya Chuo kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa kwa kutoa wahitimu wenye uwezo na ubora kukidhi viwango vya kimataifa.Kwa mtindo wa sasa wa TCU kupanga wanafunzi kwa kuangalia kozi mwombaji aliyoomba, UDSM imejikuta ikipokea wanafunzi vilaza kabisa ambao kwa kweli ni aibu baadae kwa chuo chenyewe kama hakutakiwa na mkakati makini wa kudhibiti wanafunzi wenye uwezo ndio wanachaguliwa na kuanza masomo.

Zamani kuingia UDSM kulikuwa na cuttoff points kulingana na aina ya shahada na alama za chini ili mwanfunzi achaguliwe katika kitivo au college, UDSM pamoja na kwamba inatakiwa kufanya kazi na TCU ,sera na malengo ya UDSM yazingatiwe ikiwa ni pamoja na kuchagua wanafunzi wenye ubora na uwezo na kwa kuwa vyuo vya elimu ya juu ni vingi wanafunzi wasio na sifa hizo wanaweza kujiunga na vyo vingine vya umma na binafsi.Hii itaendelea kukijenga chuo chetu cha Mlimani (UDSM).

Naamini sababu zifuatazo pia ni mjalabu wa kutaka mtihani wa mchujo wa kuingia MLIMAN urejeshwe.Maendeleo ya elimu yetu kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu ,madhila mengi yameonekana siyo kwa sektor yenyewe bali pia kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla.Kuongezeka kwa shule za Kata na pasipo kuwa na huduma muhimu kumeathiri ubora wa elimu kwa kiasi kikubwa nchini.

Udanganyifu wa wakati wa matokeo kwa mitihani ya ngazi mbalimbali za msingi na sekondari pia ni tatizo la kupata wataalam waliobora kwa kiwango cha juu.Taarifa za mwaka 2012 zaidi ya wanafunzi 5,000 walichaguliwa kuingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika.Kulinda Heshima ya chuo kikongwe na alama ya Taifa letu,Bila UDSM Imara elimu ya Juu itakuwa goigoi na legelege.

Kuendelea kuandaa wakufunzi na wahadhiri waliobobea na weledi katika taaluma kwa ajili ya vyuo vya elimu ya juu vya umma na binafsi. Kwa sasa hakuna chuo chochote cha elimu ya juu cha binafsi au umma kisichofaidika na matunda ya mafanikio ya chuo cha Mlimani kwa kutoa wakufunzi waanzilishi.:clap2:[/QUOTE]
 
kila siku udsm udsm!! Chuo ambacho wanafunzi wake wanafanya biashara ya kuuza miili yao na ukahaba.

wewe unachuki binafsi, tena inawezekana ulikosa sifa za kujiunga the hill, sasa unachukia wanavokupiga fimbo. Au demu wako na dada yako ndio wako pale wanauza nyapuuuu???
 
watu wengine bwana unaposema wenye uwezo mdogo waende vyuo vingine hivi kuna vyuo vya mabwege tz? Acha kujfanya kwsbabu eti wwe ulisoma udsm unajfanya kichwaaa kumbe boga tu huna content?


kweli wewe mufa... Nafikiri maana yake muslim university fara... Umesoma chuo cha kata leo unwaponda wanaokufundisha..... Ebu tutajie chuo kimoja tu hapa tz ambacho hakina mhitimu wa ud akiwa kama mwalimuu... Teh teh teh teh..... Upende usipende udsm ni kama maji... Usipoyanywa utayaoga, kufua je.... Ucpime tena acha chuki za kinafiki
 
Maswali ya tafakari.

Naomba kuuliza maswali yafuatayo:
Je discontinuation ni kwa ajali ya nani?
Je UDSM kuna "disco" au la?
Kama zipo ni kwa ajili ya nani?
Kama hazipo ni kwa nini?
Je elimu ya Chuo Kikuu ni kama Elimu ya Msingi ambayo, kila aliyesajiliwa lazima ahitimu?
Je mwanafunzi asipohitimu Chuo Kikuu (kwa kukosa vigezo vya kitaaluma) Mkuu wa Chuo anaulizwa?
Namkumba sana Mhadhiri wangu "IF U ARE NOT QUALIFIED, YOU WILL GRADUATE BEFORE A SCHEDULED TIME".
Naomba tujadili haya maswali, ili sote tumpe mtoa mada majibu.
Great Thinkers, let us think critically.
 
Aisee muanzisha mada ulifikafikaje hapo UD ka uwezo wako wa kufikiri ndo huu?!
 
kweli wewe mufa... Nafikiri maana yake muslim university fara... Umesoma chuo cha kata leo unwaponda wanaokufundisha..... Ebu tutajie chuo kimoja tu hapa tz ambacho hakina mhitimu wa ud akiwa kama mwalimuu... Teh teh teh teh..... Upende usipende udsm ni kama maji... Usipoyanywa utayaoga, kufua je.... Ucpime tena acha chuki za kinafiki
mmteule wacha kuabudu miungu wewe,UDSM kitu gani bana udsm ni zamani sio ya sasa ccm wameshaharibu kule bana ,ni kheri SUA,MZUMBE Somehow hata IFM kwa sasa ila sio udsm if u cant convince confuse
 
Back
Top Bottom