Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Bora hata ingekuwa sifuri tungemweshimu kwa kuwa iddle, wa huyu ni chanya kubwaMchango wake ni sifuri. Usitake kumpandisha chart mtu ambaye hastahili.
Bora hata ingekuwa sifuri tungemweshimu kwa kuwa iddle, wa huyu ni chanya kubwaMchango wake ni sifuri. Usitake kumpandisha chart mtu ambaye hastahili.
mi naona hiyo sherehe isitishwe tu, si walisema hawaitambui serikali ya mpito ya libya,,sasa kishaeleweka, mungu mtu wao kafa. Waanze maombolezo akina jk
Nilifikiri ni mhuni tu..kumbe ni dogo. Ni muhimu kulinda haki za watoto.we kubwa ji... si umesema unamtafuta elli umkamate? mbona unaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa?
mi ndo hapo ninaposhangaa watu hawa wanaotoa tuzo huangalia vigezo gani. Huwa nafikiri sijui ni wanafiki au wanajipendekeza maana wakitoka nje utasikia wakisema kiongozi huyu kashindwa kuongoza nje hafu maphd wanampa sielewi kabisa si tu watu gani, hata mzumbe mwaka juzi if not mistaken walimpa phd ya heshima.
Babu ushakuwa premium member?....duh hongera kwa hilo
nilifikiri ni mhuni tu..kumbe ni dogo. Ni muhimu kulinda haki za watoto.
umeme kukatika ni makosa ya kiufundi, lisiwape tabu. Hata jk linamgusa, naamini analafanyia kazi.
Mimi ni mmoja wa wahitimu, tuko hapa Mlimani City, kwa mujibu wa kitabu cha majina ya wahitimu ukurasa wa 74 unaonyesha kuwa JK atalamba PhD ya Heshima kwenye Sheria wakati Museveni atapata ya fasihi. Vyanzo vingine vinathibitisha kuwa JK alizomewa Nkrumak sasa tatizo hapa ukumbini ni Elders tu sidhani kama watasemaje! Kaazi kweli kweli
kweli wewe kilaza inaelekea hata ujui chanya na hasi.ulitaka mchango wake uweje sasa kama upo chanya si ni juu ya sifuri unaona wivu mwenzio anapata phd uliambiwa ukimbie la tatu?bora hata ingekuwa sifuri tungemweshimu kwa kuwa iddle, wa huyu ni chanya kubwa
Hilo la mwisho ndio jibu.hv hizi shahada za heshima zinatolewa kwa vigezo gani? Au ni uongozi wa chuo kujikomba kwa boss?
Hongera mkuu kufikia hatua hiyo unaonyesha ni jinsi gani ulivyo wa maana sana katika nchi hii,Bwn Mungu akulinde daima!!!!!!!!!Kama zingekua zinasaidia katika kuendesha nchi isingekua tatizo ila sasa hazina maana yoyote na wanapeana kirahisi sana wakati watu tunasugua kichwa, naona kalazimisha apewe hio PhD baada ya UDASA kuigomea!
huyo rejao upremium kaupata kwa post zake za kutetea magamba!
asante sana mpwa ila tuna tatizo kubwa sana la supervisors, ntaanzisha thread hio kesho
Asante sana Mpwa ila tuna tatizo kubwa sana la Supervisors, ntaanzisha thread hio kesho
phd then.........