Kwakua mhimbili unv walikupa,udom walikugawia na nairobi walikupatia!ungefanya jambo la maana kama ungeikataa hii PhD MR MSOGA.
Halafu wasomi wa udsm wangejaribu kuangalia nani wa kumpa shahada hii,wapo wengi sana nami nasema kwa dhati masoud Kipanya anastahili!
KWANINI?kwa sababu mchango wake unaonekana katka jamii yetu,amekua msemaji wa watanzania,na hapendi kuonesha ushabiki wa kichama!Kipanya ni mi0ngoni mwa vijana ambao walistahili kupewa!sasa basi kwanin watu wa aina hii wasingepewa?
NOTE:apart frm KP unaweza kuwataja vijana wengne na 7bu za kupewa PhD
Halafu wasomi wa udsm wangejaribu kuangalia nani wa kumpa shahada hii,wapo wengi sana nami nasema kwa dhati masoud Kipanya anastahili!
KWANINI?kwa sababu mchango wake unaonekana katka jamii yetu,amekua msemaji wa watanzania,na hapendi kuonesha ushabiki wa kichama!Kipanya ni mi0ngoni mwa vijana ambao walistahili kupewa!sasa basi kwanin watu wa aina hii wasingepewa?
NOTE:apart frm KP unaweza kuwataja vijana wengne na 7bu za kupewa PhD