Hivi nyie kila kitu mnachofanyiwa mnahisi kama mnaonewa!. Hayo ni mawazo mgando.
Acha kudanganya umma...nipo maeneo ya UDSM na kila ktu kipo shwari
Nipo Yombo, ni mshike mshike, jamaa wametolewa darasani
hatimaye tunangoja siku 3 tufunge chuo masomo yamesitishwa Usalama wa Taifa mjue Hakuna wanaharakati ishu imeuma watu
Nipo UDSM maeneo ya UDBS hapa karibu na Auxiliary police...hali ni shwari kabisa!
Mods nipe ban kwa maneno haya nitakayosema.
REJEO AND MZEE FU..CK YOU BI.TCH
Mmetumwa kusoma au kuandamana.
hilo pua lako silipendi
Nipo UDSM maeneo ya UDBS hapa karibu na Auxiliary police...hali ni shwari kabisa!