Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
hatimaye tunangoja siku 3 tufunge chuo masomo yamesitishwa Usalama wa Taifa mjue Hakuna wanaharakati ishu imeuma watu
Rejao kuna siku ulisema umeongea na Mbowe na kudai hakuna mkutano lakini kumbe ulikuwa ni uongo. Kwa nini na huu nisiamini ni uongo pia?Acha kudanganya umma...nipo maeneo ya UDSM na kila ktu kipo shwari
Acha kudanganya umma...nipo maeneo ya UDSM na kila ktu kipo shwari
Nakukuhakikishia watahakikisha wanawabana mmoja mmoja mpaka muogope na mlegee.Mpaka madogo wote walioko mtaani kwa kukosa mkopo watakapopewa,na hao raia wenzetu 15 walofukuzwa chuo watakapo rejeshwa chuon ndo na sisi tutafungua chuo.
Acha uwongo weweAcha kudanganya umma...nipo maeneo ya UDSM na kila ktu kipo shwari
duuh! Wewe ni MUONGO,haupo hapa chuo mkuu.
Nipo UDSM maeneo ya UDBS hapa karibu na Auxiliary police...hali ni shwari kabisa!Rejao kuna siku ulisema umeongea na Mbowe na kudai hakuna mkutano lakini kumbe ulikuwa ni uongo. Kwa nini na huu nisiamini ni uongo pia?
Hii nchi sijui inaelekea wapi sasa.
Ngoja nirudi MMU kule.
Nipo UDSM maeneo ya UDBS hapa karibu na Auxiliary police...hali ni shwari kabisa!
Hii nchi sijui inaelekea wapi sasa.
Ngoja nirudi MMU kule.
Huku hakukufai babu utakufa kwa presha, nenda tu mmu wajukuu zako akina husninyo wakakuliwaze.
Rejao kuna siku ulisema umeongea na Mbowe na kudai hakuna mkutano lakini kumbe ulikuwa ni uongo. Kwa nini na huu nisiamini ni uongo pia?