UDSM na mashinado ya ZAIN imekaaje?

Nov 11, 2008
782
38
Niliwahi kusikia maongezi ya watu kuhusiana na mashindano yanayoondeshwa na ZAIN kwa vyuo vikuu.

Nilisikia kuwa UDSM inatia aibu kweli kweli na ini dalili mbaya sana kwa elimu ya Tanzania, vijana wanashindwa kujibu maswali rahisi rahisi, wakati mwingine wanachagua maswali kwenye field amabazo hawana ujuzi mfano mtu wa B. Com anachagua maswali ya Medicine utaweza kweli????

Hata hivyo nasikia uchaguzi wa nani aende kwenye mashindano hayo umegubikwa na UFISADI wakati vyuo vingine wanaochagua ni walimu ambao uangalia wanafunzi VICHWA nasiki UDSM wanajichagua wanafunzi na uongozi wa wanafunzi, ili uchaguliwe inabidi ugawane zawadi utakazopewa na hao FISADI waliokunominate.

Jee hii ina ukweli wowote na imekaaje? Wana UDAM mnasemaje? mimi sijui ni TETESI nimezipata mahali.
 
Watanzania wengi hawana general knowledge na elimu tunayopata pia inachangia kuwa na mawazo myembaba tunaweka msisitizo kwenye ujuzi wa taaluma zetu tu. Wakenya na waganda kwa upande mwingine hata kwenye maongezi ya kawaida unaona wanajua mambo mengi. Utamaduni wa kujisomea ndio unazidi kutokomeza. Ubingwa wa masomo ya darasani haimaanishi ujuzi wa mambo ya dunia pia...
 
Niliwahi kusikia maongezi ya watu kuhusiana na mashindano yanayoondeshwa na ZAIN kwa vyuo vikuu.

Nilisikia kuwa UDSM inatia aibu kweli kweli na ini dalili mbaya sana kwa elimu ya Tanzania, vijana wanashindwa kujibu maswali rahisi rahisi, wakati mwingine wanachagua maswali kwenye field amabazo hawana ujuzi mfano mtu wa B. Com anachagua maswali ya Medicine utaweza kweli????

Hata hivyo nasikia uchaguzi wa nani aende kwenye mashindano hayo umegubikwa na UFISADI wakati vyuo vingine wanaochagua ni walimu ambao uangalia wanafunzi VICHWA nasiki UDSM wanajichagua wanafunzi na uongozi wa wanafunzi, ili uchaguliwe inabidi ugawane zawadi utakazopewa na hao FISADI waliokunominate.

Jee hii ina ukweli wowote na imekaaje? Wana UDAM mnasemaje? mimi sijui ni TETESI nimezipata mahali.

UFISADI sio serinalini tu, hata kwenye vyuo vya elimu. unafikiri mwanafunzi atawezaje kulipa 40% ya ada kama asipofanya mbinu za KIFISADI kama hizo
 
shindano la zain ni la kishenzi haliendai na hadhi ya mwanafunzi wa chuo kikuu. maswali yanayoulizwa kwa mtindo ule yanafaa shule za msingi tena darasa la nne. huwezi kumuuliza interllectual kwa staili ile. watu wanatakiwa kujifunza ubunifu sio kukalili au kutakiwa kujibu kwa pupa. ni ujinga. ni udhalilishaji wa taaluma kwa bara la Africa
 
Jamani ni balaa mbona naona kama tunaburuzwaa......duu hadi najisikiaga aibu..sijui ni english ndio tatizo au hatuna conf sijui...ila duu ni soooo
 
shindano la zain ni la kishenzi haliendai na hadhi ya mwanafunzi wa chuo kikuu. maswali yanayoulizwa kwa mtindo ule yanafaa shule za msingi tena darasa la nne. huwezi kumuuliza interllectual kwa staili ile. watu wanatakiwa kujifunza ubunifu sio kukalili au kutakiwa kujibu kwa pupa. ni ujinga. ni udhalilishaji wa taaluma kwa bara la Africa

...fafanua hoja yako mkuu. Nilidhani kuwa shindano hilo lilikuwa kipimo kizuri cha ufahamu na wepesi wa kusolve problems wa hao intellectual unaowasema? Unataka katika dunia hii inayokwenda mbele kwa kasi ya kutisha kila unapopewa swali basi upewe na muda wa kulifikiri kii-intellectual??:rolleyes:
 
shindano la zain ni la kishenzi haliendai na hadhi ya mwanafunzi wa chuo kikuu. maswali yanayoulizwa kwa mtindo ule yanafaa shule za msingi tena darasa la nne. huwezi kumuuliza interllectual kwa staili ile. watu wanatakiwa kujifunza ubunifu sio kukalili au kutakiwa kujibu kwa pupa. ni ujinga. ni udhalilishaji wa taaluma kwa bara la Africa

mawazo kama haya ndio yanachangia kubaki kwetu nyuma, ingekua hivyo mbona wanayashindwa? Ni changamoto nzuri kabisa halina ushenzi kama unavyodai
 
Jamani ni balaa mbona naona kama tunaburuzwaa......duu hadi najisikiaga aibu..sijui ni english ndio tatizo au hatuna conf sijui...ila duu ni soooo

.. Na juzi ndio ilikuwa aibu zaidi! Kile chuo gani sijui cha uganga cha Daressalaam, tena kina neno International, ilikuwa ni aibu tupu! yaani walikuwa wanaonyesha kuwa hawana general knowledge ya mambo mengi yanayoendelea duniani!!!
 
NOPE, this is more than a game, hata kama HOJA IKO PALE PALE, tunatia AIBU alafu sie hao hao ndio tunajiita CHUO BORA TANZANIA.

Ubora wa ilmu inayotolewa na chuo X haihusiani moja kwa moja na perfomance ya mwanafunzi Y ktk dubious 'challenges' at time t and location XYZ.

Huwezi kupima ubora wa mwanafunzi X kwa kutumia lisaa limoja au swali moja au vyote 2, let alone ubora wa chuo anachotoka.

Tunachofanya ni kusema UDSM imetolewa lakini thats by convention tu(maybe we don't have a better word) kwa sababu it is debatable, as UDSM sio individual au groups of random people bali ni entire wadau.
 
UFISADI sio serinalini tu, hata kwenye vyuo vya elimu. unafikiri mwanafunzi atawezaje kulipa 40% ya ada kama asipofanya mbinu za KIFISADI kama hizo



Hamna cha ufisadi wala nini, tatizo ni kama alivyosema mkubwa Nkamagi kwamba general knowledge kwa wabongo ni zero! Mtu akienda UDSM kusoma Engineering tayari keshajiona Engineer na anakushangaa kwanini unamwambia aende kwenye kipindi cha General Studies! Mtoto wa A-Level nae anayesoma PCB tayari anajiona keshakuwa MD na wala haoni umuhimu wa Develpment Studies!! Heri tukwepe DS na GS wakati tunapenda kusoma vitabu lakini nalo ni kama kumwambia Osama asome Agano Jipya!!
 
Kwa kumbukumbu zangu, vyuo viliingia kwenye mashindano hayo kutoka TZ ni vinne tu navyo ni Muhimbili, IMTU, Mzumbe na SAUT. Je hiyo UDSM ilikuwepo lini kwenye mashindano hayo? Nimeshindwa kuchangia hiyo mada ya UDSM na mashindano ya ZAIN imekaaje baada ya kukumbuka UDSM haikuwepo katika mashindano hayo.
 
.. Na juzi ndio ilikuwa aibu zaidi! Kile chuo gani sijui cha uganga cha Daressalaam, tena kina neno International, ilikuwa ni aibu tupu! yaani walikuwa wanaonyesha kuwa hawana general knowledge ya mambo mengi yanayoendelea duniani!!!
kweli kabisa kile chuo cha IMTU kilitia aibu sana, ilifika hatua walikaa kimya kabisa...japo mwenzao mmoja alikuja kuwaokoa mwishoni kidogo...ule mchenzo sio mbaya kama wengine wanavyosema...kwanamna fulani unareflect mfumo wetu wa elimu...Tanzania tunakamua sana taaluma ya darasani kuliko real situation duniani, elimu yetu ni ya kufikirika mno na mitaala yetu bado ni ya zamani haiendani ni technological changes...most of the best students from Engineering are now either good accountants or finance managers kwa kuwa walipopewa kazi za taaluma waliyosomea walichemka...

the challenge is good...nadhani tu vyuo vijaribu kupeleka wawakilishi bora zaidi...
 
tatizo ni general knowledge coz wanafunzi hawapati muda wa kusoma vitabu na other journals wanaconcetrate katika notes za darasani sana coz maprofesa wa pale wanakomoa wanadhani mwanafunzi anakuwa mzuri kwa vitu vigumu. Sema ndio the best university Tanzania kwa sasa
 
kweli kabisa kile chuo cha IMTU kilitia aibu sana, ilifika hatua walikaa kimya kabisa...japo mwenzao mmoja alikuja kuwaokoa mwishoni kidogo...ule mchenzo sio mbaya kama wengine wanavyosema...kwanamna fulani unareflect mfumo wetu wa elimu...Tanzania tunakamua sana taaluma ya darasani kuliko real situation duniani, elimu yetu ni ya kufikirika mno na mitaala yetu bado ni ya zamani haiendani ni technological changes...most of the best students from Engineering are now either good accountants or finance managers kwa kuwa walipopewa kazi za taaluma waliyosomea walichemka...

the challenge is good...nadhani tu vyuo vijaribu kupeleka wawakilishi bora zaidi...


You are wrong siyo kwamba mtu kubadili kutoka engineer na kuwa good accountant au good manager maana yake ameshindwa kazi za engineering!! TOO WRONG!! Maana yake huyo ni mtu safi katika mambo yote ndiyo maana ameweza ku switch from one field to another na anaziweza!! Fuatilia vizuri utakuta engineers wengi wanasoma MBA ili iwasaidie katika management na wanakuwa the best managers duniani kote.
 
Back
Top Bottom