Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Niliwahi kusikia maongezi ya watu kuhusiana na mashindano yanayoondeshwa na ZAIN kwa vyuo vikuu.
Nilisikia kuwa UDSM inatia aibu kweli kweli na ini dalili mbaya sana kwa elimu ya Tanzania, vijana wanashindwa kujibu maswali rahisi rahisi, wakati mwingine wanachagua maswali kwenye field amabazo hawana ujuzi mfano mtu wa B. Com anachagua maswali ya Medicine utaweza kweli????
Hata hivyo nasikia uchaguzi wa nani aende kwenye mashindano hayo umegubikwa na UFISADI wakati vyuo vingine wanaochagua ni walimu ambao uangalia wanafunzi VICHWA nasiki UDSM wanajichagua wanafunzi na uongozi wa wanafunzi, ili uchaguliwe inabidi ugawane zawadi utakazopewa na hao FISADI waliokunominate.
Jee hii ina ukweli wowote na imekaaje? Wana UDAM mnasemaje? mimi sijui ni TETESI nimezipata mahali.
Nilisikia kuwa UDSM inatia aibu kweli kweli na ini dalili mbaya sana kwa elimu ya Tanzania, vijana wanashindwa kujibu maswali rahisi rahisi, wakati mwingine wanachagua maswali kwenye field amabazo hawana ujuzi mfano mtu wa B. Com anachagua maswali ya Medicine utaweza kweli????
Hata hivyo nasikia uchaguzi wa nani aende kwenye mashindano hayo umegubikwa na UFISADI wakati vyuo vingine wanaochagua ni walimu ambao uangalia wanafunzi VICHWA nasiki UDSM wanajichagua wanafunzi na uongozi wa wanafunzi, ili uchaguliwe inabidi ugawane zawadi utakazopewa na hao FISADI waliokunominate.
Jee hii ina ukweli wowote na imekaaje? Wana UDAM mnasemaje? mimi sijui ni TETESI nimezipata mahali.