Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Sad to students:btw hakuna chama kinaweza kukupa haki.Haki ya mtz ipo mikononi mwake! Katu serikali hii ya ccm hatotoa haki kwa mtz yeyote yule!
Sad to students:btw hakuna chama kinaweza kukupa haki.Haki ya mtz ipo mikononi mwake! Katu serikali hii ya ccm hatotoa haki kwa mtz yeyote yule!
Njaa hizo,kwa kawaida hizi huwa wiki dume,sasa jwani wameambiwa hawapewi hela za field,what i know ni kwamba mara nyingi huwa zinatoka wakati wa mitihani........wanajipotezea muda,,,,,,,,,mambo mengine ukigoma unaonekana huna maana.......
Waseme kabisa wazi kuwa hawana pesa ya kumalizia semester siyo pesa ya field. Labda kuna taarifa zaidi ya hiyo uliyotoa.
Swali zuri sana kwa wana udsm,yaan nashangaa,wasomi nao wana wajanja wao,maana kama mtu unajua ku-rizon huwez kuukubali huu mgomo,wanini?????bora wafanye mtihani wakapumzike
aah kizazi kipya cha migomo. kusoma msome bure na kero kwa taifa tena. masuala hayo ni ya kuzungumzika na siyo lazima wafanye mgomo, kwani hapo vinala wataumia
Spika umeongea hoja madhubuti,ila sasa mgomo kwa muda huu si muafaka kabisaaa,ingawa bodi wamewazingua,lakini kama mtachelewa field chuo kitawajibika,nakumbuka wakati nasoma tulikumbana na kadhia ya kuchelewa field,hapohapo udsm lakini wao ndio hasa waliowajibika........Suala la pili,kama watachelewesha nauli basi msiondoke kwenye vyumba,tuliwahi kufanya hiyo kitu,na utambue kuwa hela ile huwa ni kwa NAULI na kujikimu tu........
Hakuna watu wanaonikera kama watu hawa wahamasisha migomo wasiokuwa na akili! Nina wasiwasi sana na elimu yao wanayoipata! Wao wanachoangalia ni masilahi binafsi (kama wabunge wa ccm), hawawezi kupambana kwa ajili ya watz waliowengi ambao wanaishi vijijini wakitegemea mafuta yao kuwasha vibatari wakati huo serikali inapandisha bei ya hayo mafuta. Hawagomei wachimbaji wa uranium yetu kule dodoma ambayo inatupatia only USD 5m per year wakati huo wawekezaji wakichukua about USD 200m per year! Huu ni ujinga kwa hawa wasomi wanaotumia miguu kufikiria badala ya kutumia akili. Swali hapa ni je, kwenye mkataba waliosaini hawa wanachuo na bodi ya mkopo uliainisha kutolewa kwa pesa wiki mbili kabla ya kufunga chuo!? 'SHAME ON YOU STRIKE ORGANIZER'
ile ela ya coupon kumbe ilikuwa ni mkopo. basi inabidi wawape coupon tena, safari hii iwe bure.
speaker ongea na wenzako na mkae kitako mfikirie vizuri sio kukurupuka tuu oooooooooooh tunagoma.hao bodi ya mikopo hawajakataa kuwapeni hela, subirini muda ufike muone kama hamtapewa, muwe mnastrike kwa vitu kama;
1 kupandishwa kodi mafuta ya taa ( sababu ndo kule kijijini kwetu tunayatumia kwa asilimia mia moja)
2. mchakato wa kaitiba mpya.
3 . kushuka kwa thamani ya sarafu yetu.
4 mauaji ya raia kule mwanza,arusha na mbeya.
5. kumtaka waziri mkuu (pinda),spika wa bunge(bkiroboto) nepi, na mapacha watatu( el, ra.ac) jk wajiuzuru.wakipishe chama chao kijivue gamba vizuri
6 zahanati kule kushimundu hakuna na vijiji vingine vyote.
na mengine mengi ambayo unaweza kuorodhesha mpaka modem ikaisha voucher.
ilo sula mnalotaka kugomea limekaa kiubinafsi zaidi na sio kwa watanzania wote.
behave basi.