UDSM: Mgomo unaokuja nani alaumiwe?

Njaa hizo,kwa kawaida hizi huwa wiki dume,sasa jwani wameambiwa hawapewi hela za field,what i know ni kwamba mara nyingi huwa zinatoka wakati wa mitihani........wanajipotezea muda,,,,,,,,,mambo mengine ukigoma unaonekana huna maana.......

kwenye mkutano wetu na viongozi wa usalama wa taifa walituambia mengi kweli,..
kubwa ni kwamba Tanzania tunapendelewa na mambo mengine mengi kweli....

walihitimisha kwamba hela tutapewa tarehe 18.07.2011 na tuliwaambia kwamba
sisi ni wawakilishi wa wanachuo elf20,tutawaambia wafanye wanacho taka na kubwa
walipanga kufanya mgomo juma tatu (11.07.2011) ili mtihiani iahirishwe na chuo kifungwe,....

Ijumaa hiyo hiyo jioni majira ya saa moja wanachuo walikua kwenye ATM wakichukua haki yao,..
Tanzania bila maandamano,migomo hupati haki yako.

Andamaneni kukataa mgao wa umeme muone kama hauta rudishwa
 
Waseme kabisa wazi kuwa hawana pesa ya kumalizia semester siyo pesa ya field. Labda kuna taarifa zaidi ya hiyo uliyotoa.

Yes ni kweli,
lakini hiyo haimaanishi hela tulizokua tunadai sio za kwetu,..
so far zimepatikana toka ijumaa so semester itamalizika kwa amani.

UDSM sio UDOM ambapo hata wafanye nini hawasikilizwi
 
Swali zuri sana kwa wana udsm,yaan nashangaa,wasomi nao wana wajanja wao,maana kama mtu unajua ku-rizon huwez kuukubali huu mgomo,wanini?????bora wafanye mtihani wakapumzike

kama ungesoma chuo kweli usingesema ulicho sema,...
nilicho andika pale juu kinaomajibu ya kila swali,...
ila cha muhimu ni kwamba tumekohoa kwa masaa2 tu na hela tumepewa,..
Asante sana mheshimiwa,...

kama utajiita msomi afu unyimwe au ucheleweshewe haki yako na ukae kimya tu
bila kuhoji basi tutakua na mashaka na usomi wako huo
 
aah kizazi kipya cha migomo. kusoma msome bure na kero kwa taifa tena. masuala hayo ni ya kuzungumzika na siyo lazima wafanye mgomo, kwani hapo vinala wataumia

yanazungumzika kivipi?
kukaa mpige hadithi hadithi njoo,ngoja bajeti ya wizara ya elimu ipitishwe ndo tupate hela
za kuwapa?

Mbona kamgomo ka kakika zisizozidi 120 tu wameweka hela?
bajeti imepitishwa?

hapa kuna wajanja wachache wanachukua hela then wanaweka kwenye account zao,...
assume kaweka approx mil750 za field kwa wanachuo wa udsm peke yake,kwa miezi mitatu ana sh.ngapi?

Mbona wanaosoma nje ya nchi (makerere) wanapewa hela ya mwaka mzima mara moja?
kwanini sisi zikatwe kwa miezi miwili miwili?
upuuzi huu,anyway,hela tumepata,na boom litaongezwa kesi ni pale
watakapo goma kuongenza kiwango tunachotaka sisi
 
Spika umeongea hoja madhubuti,ila sasa mgomo kwa muda huu si muafaka kabisaaa,ingawa bodi wamewazingua,lakini kama mtachelewa field chuo kitawajibika,nakumbuka wakati nasoma tulikumbana na kadhia ya kuchelewa field,hapohapo udsm lakini wao ndio hasa waliowajibika........Suala la pili,kama watachelewesha nauli basi msiondoke kwenye vyumba,tuliwahi kufanya hiyo kitu,na utambue kuwa hela ile huwa ni kwa NAULI na kujikimu tu........

Mkuu wewe unajua kweli kweli matatizo ya wanachuo.
In short hakuna aliye kua tayari kuacha kumalizia mitihani ya mwaka,ila
tulicho kua tunafanya ni kile serikali inataka siku zote,KITIKISWA TIKISWA
 
Hakuna watu wanaonikera kama watu hawa wahamasisha migomo wasiokuwa na akili! Nina wasiwasi sana na elimu yao wanayoipata! Wao wanachoangalia ni masilahi binafsi (kama wabunge wa ccm), hawawezi kupambana kwa ajili ya watz waliowengi ambao wanaishi vijijini wakitegemea mafuta yao kuwasha vibatari wakati huo serikali inapandisha bei ya hayo mafuta. Hawagomei wachimbaji wa uranium yetu kule dodoma ambayo inatupatia only USD 5m per year wakati huo wawekezaji wakichukua about USD 200m per year! Huu ni ujinga kwa hawa wasomi wanaotumia miguu kufikiria badala ya kutumia akili. Swali hapa ni je, kwenye mkataba waliosaini hawa wanachuo na bodi ya mkopo uliainisha kutolewa kwa pesa wiki mbili kabla ya kufunga chuo!? 'SHAME ON YOU STRIKE ORGANIZER'

Mheshimiwa wewe hayo uliyo yataja unayagomea?
kuna mtu kasema kugomea kucheleweshewa hela
tunatafuta kufeli (sijui kama kusoma bila kula utafautu au utaelewa),...

na wewe umekuja na hoja mpya,tukiandamana kwa hayo pia tutasoma lini?
hili moja tu mnatuona vichaa,hayo mengine mtatuonaje?
 
ile ela ya coupon kumbe ilikuwa ni mkopo. basi inabidi wawape coupon tena, safari hii iwe bure.

Heshima kwako,nimependa sana uchangiaji wako
hawa wengina inaonekana wanasoma title ya thread tu na kuchangia,...

labda wangetoa bure,ila kwa kukopeshana kila siku hadi unamaliza chuo una madeni na cheti huchukui
sio mpango huo
 
speaker ongea na wenzako na mkae kitako mfikirie vizuri sio kukurupuka tuu oooooooooooh tunagoma.hao bodi ya mikopo hawajakataa kuwapeni hela, subirini muda ufike muone kama hamtapewa, muwe mnastrike kwa vitu kama;
1 kupandishwa kodi mafuta ya taa ( sababu ndo kule kijijini kwetu tunayatumia kwa asilimia mia moja)
2. mchakato wa kaitiba mpya.
3 . kushuka kwa thamani ya sarafu yetu.
4 mauaji ya raia kule mwanza,arusha na mbeya.
5. kumtaka waziri mkuu (pinda),spika wa bunge(bkiroboto) nepi, na mapacha watatu( el, ra.ac) jk wajiuzuru.wakipishe chama chao kijivue gamba vizuri
6 zahanati kule kushimundu hakuna na vijiji vingine vyote.
na mengine mengi ambayo unaweza kuorodhesha mpaka modem ikaisha voucher.
ilo sula mnalotaka kugomea limekaa kiubinafsi zaidi na sio kwa watanzania wote.

behave basi.

Asante mkuu,...
ingawa unawaona wanaogome hii kitu ndogo ni
matahira lakini kuna watu wanatuma hela hiyo hiyo kidogo
kulipia wadogo zao ada kwenye shule za kata,...

Kuhusu hayo mengine naomba tugawane,wewe organise huko na
sisi tukimaliza kusoma tutajiunga na nyie,nashangaa nyie mlio maliza kusoma
mnatoa ushauri kwa keyboard tu,hamna mnachofanya isipo kua kulaumu
na kurushia wenzenu msalaba,...

Sisi tumefanya hiki kidogo "cha kijinga" na haki imepatikana,wewe fanya hayo makubwa
yenye akili ili watoto wenu tusome kwa amani kwanza
 
GOMENI, sababu zenyewe mbona hazina mshiko? ... na hii itachochewa zaidi na UE zinazoanza kesho!
 
poleni sana! Kwa vile ninyi ni wasomi ni vema kuwa na mkakati kumaliza tatizo hilo,nashauri mkopo uwe ni mkataba kisheria ambao utakuwa na increment kwa kuzingatia muda na kupanda kwa gharama za maisha.
 
Back
Top Bottom