...........mkuu usikurupuke, ndizo habari za ki-intelijensia mnazotumia kutugandamiza sio!!!!!FFU wamejazana chuo kikuu cha dar es salaam ikiwa ni kuzima uwezekano wa shambulizi la kigaidi kutoka kwa wanafunzi hao dhidi ya utawala wa chuo hicho kikongwe hapa nchini.
Nawasilisha.