Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
Hiviiiiii mtu aliyepata two hawezi kuwa mwanasheria bora? Mimi ninachoona hapa ni kumuangalia mtu utendaji sio kusema kasomea wapi?
Wewe na division lakoo three 2lia hapo hapo SAUT.. UD pale ktk facult of law ni wa2 waliopiga one zao kaka !! .. Usifananishe na saut . Bola ungesema hata mzumbe kidogo
ACHA KUONGEA UONGO MWAKA HUU UDSM LAW HADI TWO(II.10)WAMECHUKUA HATA VUTA NKUVUTE
umeshindwa kupata admission ya sheria udsm kwa sababu ya three yako ,WEWE KWELI UNAFIKIRI? YAANI UNASEMA WOOTE WALIOCHAGULIWA SAUT LAW WALIKUWA NA iv.18,UNAUHAKIKA AU UNAONGEA TUU ,ALAFU KUONYESHA WEWE NI MJINGA ETI UNAFANANISHA DEGREE YA LAW SAUT NA CERTIFICATE LAW YA UDSM DAH
Who are Great Thinkers? Mleta uzi ameleta evidence ya masuala ya kitaaluma ambayo wanafunzi wa sheria hawayapati kwa upande wa UDSM,lakini wale wa SAUT wanayapata...Hoja hapa ni kwamba,je ni halali wanafunzi wa sheria wakose mafunzo kwa vitendo kwa kuwa tu wengi wao walikuwa na division one? Pili,hata kwa common sense kwani hatujawahi kusikia yule aliyepata div.1 form four then akapata three form six,sasa tuseme haiwezekani wale waliopata div.1 na kujiunga UDSM kuhitimu chuo wakiwa incompetent kutokana na mleta uzi alivyoainisha.Let's be radical to solve our problems out of being crazy of history of UDSM...how many graduates of our university signed illogical contracts which robbed the nation?