Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari anasema Uongozi mpya wa Proffesa Rutinmwa umeshindwa kuhandle kitivo hivo kwa miaka 4 ijayo tutegemee elimu ya sheria UDSM kuwa FFFFFF. Chuo cha ST Agustine kimetabiriwa kuwa ni chuo kinachokuja juu kwenye maswala ya sheria kwakuwa. 1 wana muda wa kudefend dissertation zao 2. Wana attend moot court zotee,3 Elimu yao iko practical zaidi.
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi