UDSM faculty of Law imeoozaa St Agustine Chatoa wanasheri Bora TZ.

Janja PORI

JF-Expert Member
Jul 31, 2011
825
246
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari anasema Uongozi mpya wa Proffesa Rutinmwa umeshindwa kuhandle kitivo hivo kwa miaka 4 ijayo tutegemee elimu ya sheria UDSM kuwa FFFFFF. Chuo cha ST Agustine kimetabiriwa kuwa ni chuo kinachokuja juu kwenye maswala ya sheria kwakuwa. 1 wana muda wa kudefend dissertation zao 2. Wana attend moot court zotee,3 Elimu yao iko practical zaidi.
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi
 
haha huo ndo ukweli sasa hata wakiongea reality itakuja after 3 years to come.
 
hii SAUTI ni chuo gan??? au ulimaanisha SAUT???anyway tungoje wataalam waje!! mimi siruhusiwi kuchangia kwenye hizi mada.....
 
yeah,its true kuwa SAUT inakuja juu na huo ndo ukweli usiopingika kwasababu pale hawaentertain mambo ya siasa hata kidogo.
 
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari anasema Uongozi mpya wa Proffesa Rutinmwa umeshindwa kuhandle kitivo hivo kwa miaka 4 ijayo tutegemee elimu ya sheria UDSM kuwa FFFFFF. Chuo cha ST Agustine kimetabiriwa kuwa ni chuo kinachokuja juu kwenye maswala ya sheria kwakuwa. 1 wana muda wa kudefend dissertation zao 2. Wana attend moot court zotee,3 Elimu yao iko practical zaidi.
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi

wewe ni wale wale mliokosa nafasi ya kuingia UDSM Kwa kuwa ni kilaza wa 3.17,utaingiaje UDSL Katulize akili na vihiyo wenzio.
Kwenye ajira Law ud lini wameduwaa duwaa mtaani kama wengine,wanasheria wengi wanaoaminika wanatoka UD.

Law udsm itabaki kuwa juu.
 
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari anasema Uongozi mpya wa Proffesa Rutinmwa umeshindwa kuhandle kitivo hivo kwa miaka 4 ijayo tutegemee elimu ya sheria UDSM kuwa FFFFFF. Chuo cha ST Agustine kimetabiriwa kuwa ni chuo kinachokuja juu kwenye maswala ya sheria kwakuwa. 1 wana muda wa kudefend dissertation zao 2. Wana attend moot court zotee,3 Elimu yao iko practical zaidi.
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi

Mimi sio mtaalam wa elimu lkn nafikiri na kujiuliza yafuatayo:
1. UDSM na SAUT wanafunzi wanaodahili - (enroll) ni chuo gani cut-off points zao ziko juu? Obviously, ni UDSM. Sasa kwanini wadahiliwa wakiwa chuoni expectations zao hazifikiwi au hawapati wapatacho? Umejijibu mwenyewe kwamba ni UONGOZI. Dean, ameshindwa kuhakikisha wanafunzi wanaenda MOOT Court etc! Tatizo ni la kiuongozi na utawala zaidi ya wanafunzi!

2. Kuhusu ajira, its simple..... mkulima mimi na yule hatuwezi walipia watoto wetu TUMAINI na SAUT regardless of Board ya mikopo topping up some tuition fee. Wanaosoma TUMAINI na SAUT tukubali ni wa familia ya kati na juu! Wazazi / ndugu zao watawapa kazi nzuri na mapema kuliko masikini waliomaliza UDSM and other public universities. Usiseme kuna Public Service Recruitment Secretariat - its rotten. A friend of mine walienda kwenye interview, wakaanza na written interview! Anasema wapo kwenye msitari mwenzake ana majibu! Alijua ni majibu alipokutana na mtihani wenyewe kwenye interview.

3. TUMAINI sitaki iongelea! Walivyooanza kutoa degree ya sheria - waliopata uhakimu baada ya hapo - MAHAKAMA yenyewe ndio inajua kwa madudu yanayofanywa na kizazi kile - wakawa hawaajiriwi kimya kimya - lakini imeshindikana ni watoto wa wazito na vilaza- they have to be employed! Sijui sana SAUT though I am told they're doing great!
 
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari anasema Uongozi mpya wa Proffesa Rutinmwa umeshindwa kuhandle kitivo hivo kwa miaka 4 ijayo tutegemee elimu ya sheria UDSM kuwa FFFFFF. Chuo cha ST Agustine kimetabiriwa kuwa ni chuo kinachokuja juu kwenye maswala ya sheria kwakuwa. 1 wana muda wa kudefend dissertation zao 2. Wana attend moot court zotee,3 Elimu yao iko practical zaidi.
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi


wewe ni kilaza tu huna lolote.......
 
mleta mada umekuja kimipasho na kimatangazo zaidi, watu watashindwa kujadili kama vipi peleka kule jukwaa la matangazo!
 
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari anasema Uongozi mpya wa Proffesa Rutinmwa umeshindwa kuhandle kitivo hivo kwa miaka 4 ijayo tutegemee elimu ya sheria UDSM kuwa FFFFFF. Chuo cha ST Agustine kimetabiriwa kuwa ni chuo kinachokuja juu kwenye maswala ya sheria kwakuwa. 1 wana muda wa kudefend dissertation zao 2. Wana attend moot court zotee,3 Elimu yao iko practical zaidi.
Wadau tutegemee kufa kwa Faculty of law UDSM. RIP FACULTY OF LAW.
Mpashaji anasema kwa utafiti uliofanywa hivi karibuni wanafunzi wengi wa law scul wamekuwa wakifanya vizuri ni wa SAUTI, na TUMAINI , na inasemakana ajira nyingi zimekuwa zikienda kwa wanafunzi wa SAUTI na vyuo vingne.
--- lakini pia inasemekana wanafunzi wa UDSM wa sheria wengi wao hawana kipato ndo maana wanakosa kuingia law scul .. sasa basi tutegemeee SAUTI ikitoa majaji ma AGs na wengne wengi

Mbona kama layman anaongea. Napita
 
hivi ni kwa nini watu wakikosa nafasi udsm huwa wanapanic.
Hiyo SAUT na vingine vinawaalimu gani wa kufundisha hadi kuipiku udsm. Wewe kama umekosa nafasi udsm tulia soma huko ulikopata sio kuja kukaa na kuandika mambo ya kutunga na kusemekana, achana na story za mtaani. Wewe ulipopata ndio uwezo wako umefikia. Faculty of law ni faculty ya muda mrefu hata watakaokufundisha wametoka hapo na pia ni faculty ya kimataifa sio ya kulinganisha na faculty za tumaina au saut, Pia haiitwi faculty ni school of law.
 
unajua mi nashangaa kitu kimoja,hivi mtu km umesoma udsm au popote pale,na ukaambiwa chuo kinafanya madudu utatetea tu coz ulisoma hapo?..hebu tubadirike tuache fikra mgando,kuna vyuo vingi vzr na vinatoa watu wazuri zaidi ya udsm!....ukweli utawaweka huru
 
Kila chuo hapa Tanzania kina vilaza ila idadi ya vilaza kwenye vyuo ndio inatofautiana. Chuo kingine kina idadi kubwa ya vilaza kingine idadi inakua ndogo. Ila tutambue sio kila mtu ambaye ajaenda UDSM alikuahana vigezo vya kuja hapo. So hata hapo SAUT unaweza kuta Vilaza 60% na 40% sio vilaza. hivyohivyo UDSM unaweza ukakuta 30% vilaza 70 sio vilaza. Hivyo ndio Graph inavyokwenda wakuu.
 
kwenye ajira wanapimaga kwanza uelewa halafu na experience...sasa kushindwa kwenda moot court ndo nin..? halafu haujasema hizo ajira wanazopata hao wa vyuo ulivyosema ni katika entry point ama vipi..?ila ukweli ni udsm gpa chenga vyuo vingine gpa ni mzuker so kweli lazima waajiri wengine na kukutosa wewe uliopost hii mada maana nahic ni victim wa hiyo moot court..ova...
 
Back
Top Bottom